UTAFITI:
JINSI YA KUMTAMBUA NI MWANAMKE YUPI WA MTANDAONI KAKUPENDA KWELI NA YUPI TAPELI:
(a) MWANAMKE WA MTANDAONI TAPELI
Ukitaka kujua huyu ni mwanamke tapeli mtandaoni na jinsi ya kutambua...
Jamani kuna changamoto flani Jamaa angu amekutana nayo anahitaji ushauri. Mshikaji amekuwa in relationship na mdada flani wa chuo kwa muda sasa na wanaaminiana sana yani sasa Juzi kato walikutana...
Habari za leo wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kusheherekea vyema Sikukuu ya EID, japo kwangu haikuwa njema sana kutokana na shida nilizopitia.
Juzi nilikuja na Uzi nikiomba msaada...
Habari za muda huu wanajamvi. Katika kipindi hichi Cha bwana magu...ajira zimekuwa ni mtihani Sana. Sio vibaya Mungu anapokubariki ukagawana ugali na wengine. Nikaona si vibaya kuikumbuka familia...
Sifa Zangu
Jinsia Yangu KE, Miaka 22, Naishi Dar Es Salaam... Nina umbo la wastani/urefu wa wastani, Rangi ya chocolate, Ni mjasiliamali na pia najiendeleza kielimu, sina mtoto,. Ni Mkwel na...
Wengi ulalamika sio kwa sababu ya raha au wana act bali uhalisia wanakuwa kwenye maumivu makali sababu ya magonjwa mbalimbali kama fungus, gono, kaswende na magonjwa mengine ya zinaa. Usifurahie...
1 Usitarajie Kila Kitu Kiwe Shwari Katika NDOA bila Misukosuko.
2 Usitarajie Kushiba,Kuvaa,Kuoga Bila ya Kukosa cha Kutia Kinywani Au Kuvaa Mwilini ni jambo la Kawaida Katika NDOA.
3 Usitarajie...
Tabibu wa minyoo imenibidi nifunguke kuwachana baadhi ya wadada wa umri nlioutaja hapo juu.
Ndio tunajua mna hali ngumu na baadhi yenu ni broke kabisa lakini jitahidini kuomba wapenzi wenu pesa...
Habar wanajamvi
Mim n msichana wa miaka 25 niliolewa miaka miwili iliyopita ila ndoa yangu imekua na misukosuko mingi sana moja ya misukosuko hyo ni kwamba tuliwahi kutengana na mme wangu kwa...
Hii picha ili post'wa kwenye ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Facebook ikiwa kwenye ukurasa wa JamiiForums, lakini kutokana na maona ya wachangiaji karibia wote waliwaza negative kuhusu hii...
salaaaam wana jf
kama kichwa cha uzi kisomekavyo kiufupi naweza sema katika mahusiano ni mwanaume ndiye amfundishaye mwanamke kupenda kwa sababu zifuatazo
-Kwa asilimia kubwa katika mahusiano...
If i would have you i will be with you know.
If i would have you my heart will feel with joy and happiness .
If i would have you i will cook for you a nice dinner and i will give you a nice...
Ndugu zangu leo napenda niwakumbushe vijana wote tuliotoka kijijini na kwenda kutafuta maisha mjini
[emoji871]Tumekuja mjini kutafuta maisha tumewaacha wazazi wetu katka hali ngumu ya umaskini na...
Mungu alivyoumba mwanaume na mwanamke alikuwa na sababu ya kila mmoja awe na mwenzake,lakini nashindwa kuelewa kuna wanaozeeka wenyewe wenyewe bila mume wala mke.Je tatizo ni nini?
Niko ugenini hapa kwa wkend na chura matata tunapata moja mbili tatu...huku tukiutukuza uumbaji wa muumba;leo ni kazi moja tu kula,kunywa na kuchezea mashine.Na hii baridi ya huku si mchezo.Mara...
Mimi ni kijana wa makamo. Nimeajiriwa na bosi wangu ambaye ni waziri katika wizara fulani hapa Tanzania kwa kazi ya kuendesha magari ya nyumbani likiwepo lile la mke wa bosi ili kumpeleka...
Naipongeza serikali kwa kuongeza kodi kwenye mawigi,na ingependeza zaidi wakayapiga marufuku kabisa maana ni uchafu ule
Serikali kuna hii kitu make-up kwa kina dada,hii kitu inaondoa kabisa...
Niaje?
Ni miaka mingi imepita tangu tukiwa wadogo hadi sasa.. Wapo wenzetu ambao wazazi walikwishatangulia.. Poleni sana wana..waleambao wazazi bado wapo hatuna budi kumshukuru muumba.
Wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.