ANAZIMIA

ANAZIMIA

handsometz

Member
Joined
Jun 14, 2019
Posts
49
Reaction score
24
jamani jamani naombeni ushauri wenu,nina girlfriend wangu namkubali sana .ila ana tatizo cjui n nini .mara nyingi tukiwa tunafanya mapenzi anazimia.
 
Ushajiuliza kwa nn mkianza tu kufanya mapenzi na sio mkiwa mmekaa tu mnapiga stry
 
jamani jamani naombeni ushauri wenu,nina girlfriend wangu namkubali sana .ila ana tatizo cjui n nini .mara nyingi tukiwa tunafanya mapenzi anazimia.
mara ya mwisho alipozimia ulifanya nini?
 
Huu sio ubinaadamu

Kwa hiyo wagonjwa hawana haki ya kupendwa?
daaaa ila sio ugonjwa ni hali inayomtokeaga tu.nasema ivo kwa sbb nmenpeleka hospital nying lkn as ilimia kubwa walinambia hana shda yyte
 
Huu sio ubinaadamu

Kwa hiyo wagonjwa hawana haki ya kupendwa?
ajihangaikie tatizo lake ndo arudi kwenye mahusiano asije siku akazima moja kwa moja akaandika historia aendako akumbuke kusex sio hitaji la msingi kwa binadamu
 
nlimpeleka seblen nkafungua madrisha yote nkaanza kumpepea kwa kutumia kanga alokuja nayo kama msaada wa Kwanza.baada kama dk 4 to 5 akaznduka akiwa mnyonge sana.nkampa maji akanywa then nkamlaza kwa sofa akatulia
mara ya mwisho alipozimia ulifanya nini?
 
nlimpeleka seblen nkafungua madrisha yote nkaanza kumpepea kwa kutumia kanga alokuja nayo kama msaada wa Kwanza.baada kama dk 4 to 5 akaznduka akiwa mnyonge sana.nkampa maji akanywa then nkamlaza kwa sofa akatulia
ulimuuliza anatatizo la presa ? au moyo? au kuna jambo/mkasa/tatizo liliwahi mkuta katika maisha yake huko nyuma?
 
Hii niliwahi kuuliza inasababishwa na nini?

Brother, nakushauri umuache tu maana ipo siku utapata kesi ya mauaji.

Hata mimi nilimuacha gf wangu niliyempenda sana. Ila sikumwambia sababu ya kumuacha.

Cc@Mshana Jr
(Niliwahi kukuuliza chanzo cha tatizo hili)
jamani jamani naombeni ushauri wenu,nina girlfriend wangu namkubali sana .ila ana tatizo cjui n nini .mara nyingi tukiwa tunafanya mapenzi anazimia.
 
ajihangaikie tatizo lake ndo arudi kwenye mahusiano asije siku akazima moja kwa moja akaandika historia aendako akumbuke kusex sio hitaji la msingi kwa binadamu
ni hitaji la msingi mkuu labda tu ungesema lisiwe addictive tu
 
jamani jamani naombeni ushauri wenu,nina girlfriend wangu namkubali sana .ila ana tatizo cjui n nini .mara nyingi tukiwa tunafanya mapenzi anazimia.
Jichunguze mkuu, yawezekana unajiona kawaida na kumbe umejaaliwa dhakar hadi inaonekana kama kilema...teh
 
Mkuu niliwah muuliza kwa nn inatokea ivo akasema nyumban kwao asilimia kubwa wako ivo
Hii niliwahi kuuliza inasababishwa na nini?

Brother, nakushauri umuache tu maana ipo siku utapata kesi ya mauaji.

Hata mimi nilimuacha gf wangu niliyempenda sana. Ila sikumwambia sababu ya kumuacha.

Cc@Mshana Jr
(Niliwahi kukuuliza chanzo cha tatizo hili)
 
apana kiongoz . baada ya hayo matukio niliwah kutest mitambo kwa mschna mwngne inshu ilikua poa kbsa
Jichunguze mkuu, yawezekana unajiona kawaida na kumbe umejaaliwa dhakar hadi inaonekana kama kilema...teh
 
ni hitaji la msingi mkuu labda tu ungesema lisiwe addictive tu
mahitaji ya msingi ya binadamu ni kula, kuvaa, kupata pa kulala na kuwasiliana na binadamu wenzako.
sex sio ndio maana wafungwa hawapewi ruksa na mapadri na masister na matowashi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom