Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Niko ugenini hapa kwa wkend na chura matata tunapata moja mbili tatu...huku tukiutukuza uumbaji wa muumba;leo ni kazi moja tu kula,kunywa na kuchezea mashine.Na hii baridi ya huku si mchezo.Mara moja moja kutoka si mbaya,sio muda wote kuwa siriazi kwa utafutaji wakati pesa hazijai.