Huyu demu anataka kunifirisi kiwanda changu Nirudi Bush

Huyu demu anataka kunifirisi kiwanda changu Nirudi Bush

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Huyu demu nimekutana nae jana pale kiwandani kwangu, sikuwa na simu kwa wakati huo kwa sababu nilikuwa busy, nilimpatia namba yangu ikiwezekana anicheki mida flani ya Night,

Ukweli usiku ulivyofika kanicheki na kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nilimwambia nitamtafuta leo,

Sasa basi ile kuamka tu nakutana na meseji kutoka kwake eti my Umeamkaje? Kumbuka sijamtongoza wala kumgusia chochote,
Mchana huu nakutana na sms "my umeshakula" nikaona ngoja nichati chati nae kidogo aisee muda huu sasa kilichotokea Naombwa vocha"kumbuka bado sijamtongoza wala kummenya lakini ameshaanza hivyo,

Je huyu kiumbe kweli ataniacha salama huko mbeleni na hichi kiwanda changu kama Hela ya kununua vocha yenyewe tu hana je atakuwa na hela ya Kula kweli au anataka niwe mufirisi nitafutwe kwa madeni hapa mjini?

IMG_20190703_172100_730.jpeg
IMG_20190703_171849_402.jpeg




CC Zero IQ
 
Acha ubahili,vocha tu?
Huyu demu nimekutana nae jana pale kiwandani kwangu, sikuwa na simu kwa wakati huo kwa sababu nilikuwa busy, nilimpatia namba yangu ikiwezekana anicheki mida flani ya Night,

Ukweli usiku ulivyofika kanicheki na kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nilimwambia nitamtafuta leo,

Sasa basi ile kuamka tu nakutana na meseji kutoka kwake eti my Umeamkaje? Kumbuka sijamtongoza wala kumgusia chochote,
Mchana huu nakutana na sms "my umeshakula" nikaona ngoja nichati chati nae kidogo aisee muda huu sasa kilichotokea Naombwa vocha"kumbuka bado sijamtongoza wala kummenya lakini ameshaanza hivyo,

Je huyu kiumbe kweli ataniacha salama huko mbeleni na hichi kiwanda changu kama Hela ya kununua vocha yenyewe tu hana je atakuwa na hela ya Kula kweli au anataka niwe mufirisi nitafutwe kwa madeni hapa mjini?

View attachment 1145568View attachment 1145570



CC Zero IQ
 
Ukishaona X badala ya S huyo dem wa uswahilin mshamba ananuka mikojo kabsa .. kaswende kisonono hutakosa hapo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom