Kuangalia filamu za ngono kazini.

Kuangalia filamu za ngono kazini.

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,188
Reaction score
14,346
Kwani kuna ubaya gani kufanya kitu upendacho baada ya kitimiza kazi uliyopewa na boss wako kwa 100%.. Kuview adults material kazini ichukuliwe kama hobby tu ya mtu kama vile kucheza games.
 
Kwahyo umechoka kuangalia kwa kuibia washroom unataka wahalalishe ad ofisini mkuu?
Kama n hobby yako si ungefanya kazi ya kucheza ngono
 
hawa ndio wafanyakazi wetu,, Jiwe akiona hii haongezi mshahara tena,,,,,
nchi za wenzetu ukikutwa unatumia muda wa kazi kufanya mambo yako binafsi ,,,,, kazi ndio bye bye
endelea kuangalia tu,,ipo siku IT wa hapo watakuchoma ....
 
Hivi huu uzi umetoa ukiwa wapi?
Kamaa chooni sawa maana ukiwa chooni sometime akili inalegea hasa choo cha shimo.
 
Kwahyo umechoka kuangalia kwa kuibia washroom unataka wahalalishe ad ofisini mkuu?
Kama n hobby yako si ungefanya kazi ya kucheza ngono
Wote tukicheza filamu za ngono watizamaji watatoka wapi?
 
Kwani kuna ubaya gani kufanya kitu upendacho baada ya kitimiza kazi uliyopewa na boss wako kwa 100%.. Kuview adults material kazini ichukuliwe kama hobby tu ya mtu kama vile kucheza games.
hii ni katika kutekeleza ilani na kuongeza ufanisi wa kazi.
 
hawa ndio wafanyakazi wetu,, Jiwe akiona hii haongezi mshahara tena,,,,,
nchi za wenzetu ukikutwa unatumia muda wa kazi kufanya mambo yako binafsi ,,,,, kazi ndio bye bye
endelea kuangalia tu,,ipo siku IT wa hapo watakuchoma ....
Mkuu elewa baada ya kutimiza majukumu kwa asilimia zote ndo unacheki hayo mavitu kama kurelax
 
Watu kama ww mtoa mada ndo mna sababisha bangi isiruhusiwe
 
Mkuu elewa baada ya kutimiza majukumu kwa asilimia zote ndo unacheki hayo mavitu kama kurelax
kutimiza majukumu for real!!!!
kwa kifupi hapo unafukuzwa kazi,,real afadhali uangalie video za cat youtube kuliko kuangalia porn ofisini it too weird..
kama vipi jaribu kuangalia hizo video zako kwenye daladala halafu ulete mrejesho.........
 
Back
Top Bottom