Ni sawa kipind hichi cha maisha wanaume nao wana ile tabia ya kutaka mwanamke ambaye kimsingi nae ni mchakarikaji ili msaidie ilo ni sawa, ila mambo kama yamebadilika wanaume wamekua wavivu wakitak wapate kwa wanawake.. asa kweny kutafuta wenza kama huku akion umesem una ajira huyoo fastaaa akat anajijua yeye hata hajishughulishi maan kutokua na ajira sio kigezo cha kutojishughulisha wanaume.. kiuongo ili umkubal atajifanya ana mikakati mingi ya maisha afu unashangaa akija kwako tu kuonana anakaa mwez unaanza kupata maswali hiyo miradi huko anaangalia nan ha ha haa kumbe ndo alivyojiwekea awe anaishi na mwanamke amlishe kila kitu yeye akae tuu.