CLASSICAL WOMEN Vs MODERN WOMEN

CLASSICAL WOMEN Vs MODERN WOMEN

James88

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2017
Posts
1,700
Reaction score
1,765
Classical Women wako poa sana, Ila wengi ni wafia dini na hakawii kukubania papuchi ila akaenda kumpa Baba Mchungaji wake. Pia wanapenda sana kushinda Church. Pesa zao nyingi huwa zinaishia kanisani. Ila ukimpata ambaye siyo mfia dini aisee oa haraka sana sababu huyo lazima atakuwa anajielewa. Pia atakuwa hana matumizi ya hovyo ya hela.

Modern Women wengi wao wana majanga kishenzi, Kama hujajipanga vizuri anaweza akakufilisi unajiona. Atataka hela ya (saloon, kucha za bandia, kope za bandia, Atataka aoshwe miguu kila siku, Atataka umpe hela za kununulia nguo na viati kila week, atataka hela ya make up ajipige make up kilo 8 kila siku) halafu bado pamoja na kumpa yote hayo anaenda kugawa papuchi kwingine. Kila kitu kinachoinvolve maisha yake atataka akiweke mitandaoni. Na mengine mengi.

Sasa balaa ni pale utakapopata modern woman halafu ni mfia dini. Halafu financially anakutegemea wewe. Aiseee unaweza ukafa unajiona.

Uzi tayari
 
Atakayeweza kuongezea tupicha itapendeza.
 
Mwanamke Ni Mwanamke as long as an Feature zote zinazom-Determine kwamba Yu mwanamke.

Anaweza kua classical au modern lakini bado akawa kisanga..
Kumpata mwenye Distinctive feature za kua mke, yaweza kua ngumu au rahisi..Ni kutokana nawe mlengwa waangalia vitu gani hasa.

But Kama wataka kuoa mke Bora chukua mwenye sifa hizi Mwadirifu (Integrity personnel) Mwema (Kindfully) akii hautajuta. Ila Kama waangalia Flat au Chogo utapata tabu indeed.
 
Classical Women wako poa sana, Ila wengi ni wafia dini na hakawii kukubania papuchi ila akaenda kumpa Baba Mchungaji wake. Pia wanapenda sana kushinda Church. Pesa zao nyingi huwa zinaishia kanisani. Ila ukimpata ambaye siyo mfia dini aisee oa haraka sana sababu huyo lazima atakuwa anajielewa. Pia atakuwa hana matumizi ya hovyo ya hela.

Modern Women wengi wao wana majanga kishenzi, Kama hujajipanga vizuri anaweza akakufilisi unajiona. Atataka hela ya (saloon, kucha za bandia, kope za bandia, Atataka aoshwe miguu kila siku, Atataka umpe hela za kununulia nguo na viati kila week, atataka hela ya make up ajipige make up kilo 8 kila siku) halafu bado pamoja na kumpa yote hayo anaenda kugawa papuchi kwingine. Kila kitu kinachoinvolve maisha yake atataka akiweke mitandaoni. Na mengine mengi.

Sasa balaa ni pale utakapopata modern woman halafu ni mfia dini. Halafu financially anakutegemea wewe. Aiseee unaweza ukafa unajiona.

Uzi tayari
Hizi bia unanywea wapi mkuu? 😂 😂
 
Ukifanya kwa uwezo wako na si kwa kutaka kujionesha haisumbui hata!
 
Nenda kileji, hao wote uliowataja hawapo huko...
 
Classical Women wako poa sana, Ila wengi ni wafia dini na hakawii kukubania papuchi ila akaenda kumpa Baba Mchungaji wake. Pia wanapenda sana kushinda Church. Pesa zao nyingi huwa zinaishia kanisani. Ila ukimpata ambaye siyo mfia dini aisee oa haraka sana sababu huyo lazima atakuwa anajielewa. Pia atakuwa hana matumizi ya hovyo ya hela.

Modern Women wengi wao wana majanga kishenzi, Kama hujajipanga vizuri anaweza akakufilisi unajiona. Atataka hela ya (saloon, kucha za bandia, kope za bandia, Atataka aoshwe miguu kila siku, Atataka umpe hela za kununulia nguo na viati kila week, atataka hela ya make up ajipige make up kilo 8 kila siku) halafu bado pamoja na kumpa yote hayo anaenda kugawa papuchi kwingine. Kila kitu kinachoinvolve maisha yake atataka akiweke mitandaoni. Na mengine mengi.

Sasa balaa ni pale utakapopata modern woman halafu ni mfia dini. Halafu financially anakutegemea wewe. Aiseee unaweza ukafa unajiona.

Uzi tayari
Mfia dini😂😂😂🤣
 
Ila kuna wadada flani yani ukiwa nao aise unajihisi burudani mno kwanza awe anajitambua then anakutreat flani ivi pale unapokosea au kwenda kinyume daah...,Pesa hapendi kivile pia mwenyewe mtafutaji mkipata mnagawana pamoja yaani mnapendana..,Napenda mno ilo life aisee na najua kabisa kwamba wanawake wa dizain iyo bado wapo kibao ila kuwapata inahitaji uwe umetuliza kichwa mno yani ili uweze kufaidi mazuri yao
 
Back
Top Bottom