Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

MAMA NA MWANA Gozbert ; Mama wamenifukuza shule Mama : Hivi ndo nimetoka kijiji cha Mkomanzila kwa rafiki yangu kuchukua pipa nikoroge pombe, nikiuza nitakutumia mwanangu. Kazana kusoma Gozbert...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Ndugu zangu. Unawezaje kudeal na mwanamke Ambaye! 1.Anaweza akakosea yeye, Na kamwe hata usipomuuliza Hawezi kujielezea kwa nini kakosea Hata kama anajua umekasirishwa na makosa yake...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Leo naomba kuuliza kwa wanandoa, instagram, facebook n.k. zina mchango wowote kwenye kuongezeka wimbi la talaka? Ewe mwanamume unajisikiaje pale mkeo anapoposti picha kavaa kisuruali cha kubana...
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Kwa kawaida tabia za mtu hazijifichi, awe mwanamke au mwanaume. Tatizo tulilonalo binadamu ni kwamba huwa hatuko tayari kuukubali ukweli kwa kujidanganya kuwa tumezama kwenye mapenzi. Mungu ana...
7 Reactions
47 Replies
9K Views
Wakuu habari ya leo. Nina imani afya zenu Ni njema kabisa. Mimi si mwanachama hai wa jukwaa hili, lakini leo nimeona nitoe mchango wangu kama njia ya kuboresha mahusiano. Kuna tabia ambazo kwa...
16 Reactions
100 Replies
22K Views
Kwa mfano ikitokea hicho kiungo chako unachokipenda na kukupa furaha duniani...kikajeruhiwa kwa ajali yoyote ile,na madaktari wakakuambia hakitakuwa kinafanya kazi tena(hutoweza kufanya sex);baada...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Ni kisa cha kweli, tulikutana ukubwani marafiki watatu tulisoma pamoja shule ya msingi. 1. Ni nesi mkunga, ameajiriwa hospitali ya serikali. 2. Police traffic ni mja mzito na amelazwa kwenye...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Nimekuwa nikishuhudia na hata kuamua na kushauri ugomvi wa wanandoa wengi lakini mara nyingi sababu huwa jambo dogo, la kijinga na hata lisilo na mashiko. Yaani mpaka unajiuliza hili ndilo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mzazi A Mwanangu sasa hivi umeshakuwa hivyo kuwa na makini na Wanaume dunia imeharibika. Mambo mengine atakuambia Mama yako au Shangazi zako ila Mimi Baba yako naishia hapa. Mzazi B Wewe Mtoto...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
"Mwanangu ukitaka kufurahia maisha ya ndoa, katu usiwe na mke mmoja tu". Kisha akendelea , mke mmoja atapambana na wewe kila siku ila ukiwa na wawili watapigania wao kwa ajili yako kila siku...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Leo naungana na wengine dunia walioumizwa na wanawake ambao waliwahudumia lakini mwisho wa siku waliachwa bila ya kuona Tone la huruma kutoka kwa wenza wao wa zamani. Nasema haya kwa huzuni...
5 Reactions
31 Replies
6K Views
Mpo?????ray nimerudiiiii tena nimejaa teli mpo tyityiiiiii?? Mambo ni mengi muda ni mchacheeeeee Niliwamissoooo leo nikaona nipitye hapa niwasabahiii hehee mapenzi pesa babu Yaani n hviii//////...
0 Reactions
8 Replies
890 Views
Mrembo fulani hivi mwembamba mrefu Majibu ya kunde, mweupe 100%, black beauty Mcheshi, mtu wa dini heshima kwa kila mtu, ajue jinsi ya kucare, msomi au awe na kitu cha ziada maishani mwake basi...
0 Reactions
7 Replies
983 Views
I laugh each time men say they don't understand women. How can you understand what was created when you were sleeping 😂😂
8 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari wadau wa jukwaa pendwa Uchunguzi nilioufanga kuhusu ndoa nimebaini kwamba ndoa za Mitala za kiislam yaani za mke zaidi ya mmja zinadumu na zinafuraha kuliko ndoa za kikristo za mume mja na...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Toeni maoni yenu juu ya hili tafadhali.
5 Reactions
24 Replies
3K Views
Naam habari za usiku wakuu Leo nataka nihitimishe kisanga kilichotokea kule Kibada. Si mbali sana na pale anapoishi Masanja Mkandamizaji, kwa wanaofaham maeneo ya Kibada. Mwanzo wa mwezi huu...
9 Reactions
18 Replies
3K Views
Huyu dada hapa mtaani kwetu huku Kwamtogole aliolewa na mume mchacharikaji mashallah, walijenga nyumba, mwanaume alianza biashara, alinunua dalala, nyumbani mboga si saba lakini mbili at tatu...
18 Reactions
46 Replies
4K Views
Movie linaanza, atakuja kwangu weekend sa1 asubuhi kwa nauli yake hapo nimelala atatoa nguo zangu zote chafu, mashuka viatu atafuaa zinang'aa. Ataingia jikoni atasafisha makabati, vyombo ataingia...
8 Reactions
138 Replies
9K Views
Huyu binti alianza shule ambayo alijikuta ni mweusi peke yake darasani. Sina uhakika kama alidhihakiwa na wenzake. Lakini alimuuliza mama yake alipofika nyumbani ni kwanini yeye yuko tofauti na...
6 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…