Je wazee walikuwa sahihi katika hili?

Je wazee walikuwa sahihi katika hili?

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
72,400
Reaction score
191,516
IMG-20190721-WA0028.jpg


Toeni maoni yenu juu ya hili tafadhali.
 
Hawakuwa sahihi..

Sex inaanzia kwenye ubongo..so kama mmegombana hili haliwezekani..

Labda hawa wazee wangemaanisha "kubakana"
hahahah kwamba we ukizinguana na mamz wako hutaki kitobo kabisa.
 
Aseee, inategemea na aina ya ugomvi !!!! Haiwezekani nimfumanie afu bado nimpe mzigo lazima ninune mpaka papuchini
 
Uko sahihi 100%, sex inasuluhisha ugomvi kirahisi sana.
Ila upate mtu romantic, yale mashamba hayatakagi hata kuguswa mkigombana 🤣🤣🤣 yanaleta beef ila mtoto flani mpole sana na romantic hapo ndio pa kuchukulia points.
 
Hawakuwa sahihi..

Sex inaanzia kwenye ubongo..so kama mmegombana hili haliwezekani..

Labda hawa wazee wangemaanisha "kubakana"
🤣🤣🤣 Kubakanaje huku mama anamwaga miuno feni akikamatiwa, sio wanawake wote wenye hulka ya kuzira mkigombana bali ni stupid few.

Nahisi hujawahi kukutana na mwanamke mpole au mkorofi sana ila mwenye hisia kali za kimapenzi ama sex mzee baba. Hawa wa hii kabila huwa hata mkigombanaje ila ukimvutia kwenye ulimwengu wa kwichikwichi anafurahia sana kiasi kwamba anapotezea ule ugomvi chap na kukupa ushirikiano wa nguvu. Gemu ikiisha na ugomvi umeisha mnacheka tu. Attention seeking ladies ndio wana hii tabia.
 
Back
Top Bottom