"Mwanangu ukitaka kufurahia maisha ya ndoa, katu usiwe na mke mmoja tu".
Kisha akendelea , mke mmoja atapambana na wewe kila siku ila ukiwa na wawili watapigania wao kwa ajili yako kila siku.
Kwa kufanya hivyo , maisha yako yatakua rahisi Kama refa uwanjani.
Wakuu ebu naombeni uzoefu kwenye ili.
Kisha akendelea , mke mmoja atapambana na wewe kila siku ila ukiwa na wawili watapigania wao kwa ajili yako kila siku.
Kwa kufanya hivyo , maisha yako yatakua rahisi Kama refa uwanjani.
Wakuu ebu naombeni uzoefu kwenye ili.