me mlokole
Member
- Jul 17, 2015
- 27
- 11
Habarini,
Jamani siku hizi wadada wa kazi hawakai, akija baada ya mwezi utasikia naondoka, sababu ni nini? Tupeane mawazo ili tusaidike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani siku hizi wadada wa kazi hawakai, akija baada ya mwezi utasikia naondoka, sababu ni nini? Tupeane mawazo ili tusaidike.
Sent using Jamii Forums mobile app