Nawasalimu
Leo naomba nitoe dukuduku langu kuhusu nyinyi wanaume. Hivi kwanini mnakua na roho za kishetani mpaka shetani mwenyewe anashangaa?
Unakuta mwanamke unajitahidi kumheshimu mwanaume...
...ushawahi kumbwa na dhahma ya kuitafutia barua marashi kuipulizia, halafu ukakumbana na tabasamu na vicheko ukikatiza mbele ya mashoga zake walosoma 'gazeti' uloandika?
those days boarding...
Introduction to Detecting Lies:
The following techniques to telling if someone is lying are often used by police, and security experts. This knowledge is also useful for managers, employers, and...
Ni Mwanaume wa miaka 29, mwajiriwa serikalini. Nahitaji mwanamke seriously kwa mahusiano ya kuelekea ndoa, awe na umri 23 hadi 27, mkristo ama awe tayar kubadili dini, asiwe na mtoto coz mwenyew...
habari Ndugu zangu,
Huwa napitia saana Uzi mbali mbali humu na ni memba wa muda mrefu saana, naona comment na baadhi ya post zinaonyesha kuwa masichana wastaarabu, wanajitambua pia kuna...
Ndugu wanaume wenzangu,
Siku hizi kuna magonjwa ya wanawake mengi ambayo yametishia kabisa uwepo wetu sisi wazamiaji haswa chumvini.
Kwa maana kansa ya shingo ya kizazi ukiilowekea mdomo sidhani...
Wanaume Tuwape Hela hawa dada zetu hakuna kisichowezekana jaman, kwann nasema hivi kuna demu bhana huwa nakukutana nae nakula for free inshort pesa yangu alikuwa haigusi. Last week nilikua nae...
wakuu kwa mara ya kwanza najitokeza hapa MMU hii nikutoka na usumbufu niliupata toka kwa wabongo wenzangu baada ya uzi huu.
Kuna siri gani wanaume warefu kupendwa na wanawake wengi?
wasichana...
Nipo hapa Sina mume Wala mchumba nipo peke yangu
Natamani kuwa mwenza wa kupanga nae familia Nina penzi la dhati kwa mwanaume anae jielewa na kujitambua
Tofauti na hapo huto pata penzi la...
Ama kweli za kuambiwa changanya na za kwako, hili nimeliamini leo baada ya mambo kunikuta...
Iko hivi kuna mtu aliwahi kuja humu jukwaani kuhusu mada ya kumpiga mwanamke kama ni sahihi au la...
Jamani mapenzi ni matamu hasa ukimpata mjuzi wa mambo lakini mimi nina tatizo, naombeni ushauri. Mwanzoni mwa mwaka huu, kuna kaka nimekutana naye, akanitongoza na baadaye tukaanzisha uhusiano...
Ni sababu gani hupelekea mwanamke kukubali kuolewa mke wa pili
je ni sababu ya umasikini,mapenzi ya dhati kwa anayetaka kumuoa mke wapili au kuchoka kukaa bila kuolewa ?
Karibuni tuweze...
Naimani utapata mwanaume sahihi na utafurai milelele yote
Sio yule anae kufanya sexy machine yani akutumie anapo kuitaji akimaliza aja zake akutupe awe bize na Mambo yake inajirudia [emoji817]...
Nimekuwa nikifuatilia malalamiko ya watu wengi mtaani na humu JF hasa MMU, yanayotolewa na wanaume kulaani tabia ya baadhi ya wanawake ya kugawa K pindi panapotokea ugomvi au kutokuelewana kati...
Habari wakuu? naombeni tujadili hili jambo, binafsi sijajua nikwanini ile sehemu ya mwili wa mwanamke ambayo inatufalia sana tunaiita kwa majina mabaya, yenye kukera na kudhalilisha utu wa...
Nimekutana mtandaoni na mtoto ana profile ya kishua balaa, mtoto mkali hatari picha zake yuko paris, dubai, Monaco, Venice. Selfie zake ameshika iphonex. Kitanda cha queen size velvet upholstery...
Siku hizi kila mahala ukipita au hata ukikutana na Mwanamke utamsikia akisema kuwa hana shida ya Mwanaume na kwamba Maisha ya ‘ Usingo Maza ‘ anayapenda na pia anaweza kuishi na kuendesha Maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.