Demu ana iphone X ananiomba buku ya luku

instagram

JF-Expert Member
May 27, 2014
2,091
4,715
Nimekutana mtandaoni na mtoto ana profile ya kishua balaa, mtoto mkali hatari picha zake yuko paris, dubai, Monaco, Venice. Selfie zake ameshika iphonex. Kitanda cha queen size velvet upholstery, kwenye gari pure leathet seats, five star hotels etc, yaani ana bonge la profile. Nimechat nae kanipa namba yake tumeongea fresh. Dah mara paap kanitumia ujumbe eti kama sitojal eti nimtumie elfu 5 aweke umeme wa buku eti luku imeisha. Yaani toka zali la mentali hadi kidemu cha mizinga dakika sifuri.
Kaniacha hoi simtumii.
 
Kweli kakuvuruga. Mpaka hii kitu umepost usiku mkali hivi

Nimekutana mtandaoni na mtoto ana profile ya kishua balaa, mtoto mkali hatari picha zake yuko paris, dubai, Monaco, Venice. Selfie zake ameshika iphonex. Kitanda cha queen size velvet upholstery, kwenye gari pure leathet seats, five star hotels etc, yaani ana bonge la profile. Nimechat nae kanipa namba yake tumeongea fresh. Dah mara paap kanitumia ujumbe eti kama sitojal eti nimtumie elfu 5 aweke umeme wa buku eti luku imeisha. Yaani toka zali la mentali hadi kidemu cha mizinga dakika sifuri.
Kaniacha hoi simtumii kwanza itakua kaiba picha za insta models wa mbele huko anatumia kama profile yake.
 
Watu hawapost shida zao Instagram, kumbuka hilo.
Nimekutana mtandaoni na mtoto ana profile ya kishua balaa, mtoto mkali hatari picha zake yuko paris, dubai, Monaco, Venice. Selfie zake ameshika iphonex. Kitanda cha queen size velvet upholstery, kwenye gari pure leathet seats, five star hotels etc, yaani ana bonge la profile. Nimechat nae kanipa namba yake tumeongea fresh. Dah mara paap kanitumia ujumbe eti kama sitojal eti nimtumie elfu 5 aweke umeme wa buku eti luku imeisha. Yaani toka zali la mentali hadi kidemu cha mizinga dakika sifuri.
Kaniacha hoi simtumii kwanza itakua kaiba picha za insta models wa mbele huko anatumia kama profile yake.
 
Nimekutana mtandaoni na mtoto ana profile ya kishua balaa, mtoto mkali hatari picha zake yuko paris, dubai, Monaco, Venice. Selfie zake ameshika iphonex. Kitanda cha queen size velvet upholstery, kwenye gari pure leathet seats, five star hotels etc, yaani ana bonge la profile. Nimechat nae kanipa namba yake tumeongea fresh. Dah mara paap kanitumia ujumbe eti kama sitojal eti nimtumie elfu 5 aweke umeme wa buku eti luku imeisha. Yaani toka zali la mentali hadi kidemu cha mizinga dakika sifuri.
Kaniacha hoi simtumii kwanza itakua kaiba picha za insta models wa mbele huko anatumia kama profile yake.
Kaniacha hoi simtumii kwanza itakua kaiba picha za insta models wa mbele huko anatumia kama profile yake. umepata jibu
 
Nimekutana mtandaoni na mtoto ana profile ya kishua balaa, mtoto mkali hatari picha zake yuko paris, dubai, Monaco, Venice. Selfie zake ameshika iphonex. Kitanda cha queen size velvet upholstery, kwenye gari pure leathet seats, five star hotels etc, yaani ana bonge la profile. Nimechat nae kanipa namba yake tumeongea fresh. Dah mara paap kanitumia ujumbe eti kama sitojal eti nimtumie elfu 5 aweke umeme wa buku eti luku imeisha. Yaani toka zali la mentali hadi kidemu cha mizinga dakika sifuri.
Kaniacha hoi simtumii.
Yaani kukuomba buku tayari ishakuwa tatizo mpaka umeamua kufungua uzi humu. Angekuomba 50,000/= je ?. Na sisi wanaume kuna muda tunafeli. Hebu let's be positive sometimes. Yawezekana ni kweli luku imekata hivyo anataka anunue hata huo umeme wa buku ili afike asbh kama ni hela akafuate benki au huko anakokujua yeye. Mtu kuwa na high profile haimaanishi kuwa kamwe hawezi kukwama.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom