BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,031
Wanaume Tuwape Hela hawa dada zetu hakuna kisichowezekana jaman, kwann nasema hivi kuna demu bhana huwa nakukutana nae nakula for free inshort pesa yangu alikuwa haigusi. Last week nilikua nae maeneo bhas nikawaza hyu dada kila nikimuhitaj hata iwe sa8 usik huwa anakuja ananipa utamu sasa wacha nimpe cash, nikafungua wallet nikampa 150k nkamwambia mama kafanye shoppin alishukuru sana. Sijamaliza bada ya siku2 tena aliniaga anaenda kibaha kwa msiba nikamtumia 50k imsaidie.
Masela,muhuni nikaanza tafutwa kwa speed ya 7G ma care yakazid na wivu juu, nkasema kimoyomoyo na mke mtarajiwa mama tuliaa hiyo speed so nzuri, akawa ananitafuta sana aje kwangu sema nilikuwa busy sana juz tukameet sex niliyopewa so ya nchi hii aisee yale mapenz niliyopewa hatar ikabid nimwulize mama umejifunzia wap?? Leo tena nimepewa mapenz zaid ya juzi mpaka nimeanza sahau shida za duniaaa hii.
Wanaume tuwape pesa hawa dada zetu, tunalalamika wamekua magogo kitandani hawafiki kielelen kumbe hatutoi pesa, pesa ineleta raha na heshima maselaa,
Masela,muhuni nikaanza tafutwa kwa speed ya 7G ma care yakazid na wivu juu, nkasema kimoyomoyo na mke mtarajiwa mama tuliaa hiyo speed so nzuri, akawa ananitafuta sana aje kwangu sema nilikuwa busy sana juz tukameet sex niliyopewa so ya nchi hii aisee yale mapenz niliyopewa hatar ikabid nimwulize mama umejifunzia wap?? Leo tena nimepewa mapenz zaid ya juzi mpaka nimeanza sahau shida za duniaaa hii.
Wanaume tuwape pesa hawa dada zetu, tunalalamika wamekua magogo kitandani hawafiki kielelen kumbe hatutoi pesa, pesa ineleta raha na heshima maselaa,