Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,162
- 62,210
Kusomesha hawara ni halali?
ha ha ha ha sasa mkuu huduma zote anakupatia...ila ukichunguza kiundani unagundua,ni kwa sababu unamuwezesha mambo fulaniWewe sio baba yake wale ndugu yake.
Ameshapoteza sifa ya kuwa BAHARIAKikao cha mabaharia tulishatoa rai kuwa demu hasomeshwi mbona hamuelewi tuta anza kuwavua vyeo