Leo ilikuwa siku ya kuonana na mchumba wangu lakini mda wa asubuhi akaniaga anaenda kwa shangazi yake ni mbali kiasi na kaniambia anataka nauli nikampa 50,000 sababu ni mbali kiasi.
Sasa mida ya jioni hivi niko zangu natembea nikaona kihoteli flani hivi nikaingia kupata soda. Ile naendelea kuburudika na soda yangu nashangaa kuona mgongo kama wa demu wangu cha ajabu Ile naangalia vizuri ni yeye kabisa na kakaa mwenyewe😗😗.
Nikasogea pembeni nikampigia simu na ikaita huku namuangalia inavyoita akapokea nikamwambia pole na Safari akasema asante na akaendelea mimi mzima nimefika salama na unasalimiwa sana😂😂😂.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?
Sasa mida ya jioni hivi niko zangu natembea nikaona kihoteli flani hivi nikaingia kupata soda. Ile naendelea kuburudika na soda yangu nashangaa kuona mgongo kama wa demu wangu cha ajabu Ile naangalia vizuri ni yeye kabisa na kakaa mwenyewe😗😗.
Nikasogea pembeni nikampigia simu na ikaita huku namuangalia inavyoita akapokea nikamwambia pole na Safari akasema asante na akaendelea mimi mzima nimefika salama na unasalimiwa sana😂😂😂.
Ingekuwa wewe ungefanyaje?