Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 732
- 1,746
Kuna mdada nna dating nae muda tu.
Lakini mara kwa mara anapenda sana niambia kuna mtu flani alinitaka mara huyu ananifuata fuata yaan muda mwingine nakereka.....
Kuna siku nikamfuma ana flirt na watu mbele yangu ingawa anajificha nisimuone nikamuambia unasema watu wanakutaka wakati wewe mwenyewe ndio unawapa attention....akaomba omba msamaha kweli
Lakini licha ya hayo akawii kuniletea story za namna hiyo
Nimeshindwa muelewa kabisa
Lakini mara kwa mara anapenda sana niambia kuna mtu flani alinitaka mara huyu ananifuata fuata yaan muda mwingine nakereka.....
Kuna siku nikamfuma ana flirt na watu mbele yangu ingawa anajificha nisimuone nikamuambia unasema watu wanakutaka wakati wewe mwenyewe ndio unawapa attention....akaomba omba msamaha kweli
Lakini licha ya hayo akawii kuniletea story za namna hiyo
Nimeshindwa muelewa kabisa