Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

TAZAMA MFANO HUU. Umerudi kazini, umekaa na mama watoto, kashika simu yake kageukia kule, wewe umeshika yako umegeukia huku unaperuzi mtandaoni. Mara unakumbana na kavideo fulani hivi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
MTUME MUHAMMAD اصلا الله عليه وسلم ALIPATA KUULIZWA NA SWAHABA WAKE JUU YA "Ni yupi wa kutendewa wema zaidi katika wazazi wangu wawili na ndugu zangu?, akajibu 'Mama Yako', akaulizwa nani...
11 Reactions
67 Replies
12K Views
Watoto hawaruhusiwi kunywa pombe mpaka wafikishe umri wa miaka 18 na nchi nyingine 21. Mzazi unapomtuma mtoto awaletee bia wewe na marafiki zako ni sahihi? Nionavyo mimi mtoto asihusishwe na...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
Salam Sana.. Ndoto hii imejirudia mara tatu usiku mmoja . Msaada Kwa wajuzi wa ndoto.
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Wanajamvi... Hebu tusaidiane kitu hapa.... Kwenye mechi ya kujamiiana kati ya mwanamke na mwanaume huwa kuna rounds. . Round ya kwanza ni ile mnayoanza nayo ambayo inasemekana inakua fupi sababu...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Kama mpenzi au mchepuko wako anaomba sana vocha basi mwambie atumie njia hii hapa, hata kusumbua tena na akishindwa basi, hana shida na vocha,,,,, https://jamiiforums.com/sfQFsV4cPZ
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Baada ya kufika lodge jamaa aliniomba kusubiri nje akaingia ndani(reception)kuulizia vyumba baada ya dakika chache akarejea na funguo mkononi akiashiria tuelekee chumbani kupumzika baada ya...
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Please Kabla hujafikisha 50 hakikisha unakula mademu wafuatao: 1.Baa medi na mademu unaokutana nao club 2.Mama Ntilie 3.Wanafunzi wa vyuo 4.Demu uliyekosea namba 5.Demu mliyekutana katika...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Una mke mzuri lakini unamused kuwa na mchepuko. Kuua so unapotoa mchepuko hutaki umma ufahamu hivyo unakuwa na rafiki yako best pembeni. Kwakua huyu rafiki yako hajaoa ni rahisi watu kufikiri huyu...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Habar za muda huu wanajamii. Mim ni mdada wa miaka 29, Muislamu ninaishi na HIV+ na nimejikubali kwa hiyo sio jambo ambalo linalonisumbua. I am physically fit Alhamdulillah, Changamoto kubwa ni...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari Jf members! Ninaamini kila mmoja ana story take unique katika tasnia hii pendwa ya malove Doveee, Wengi tumeacha na kuachwa bila sababu na sababu za msingi katika kuacha. LEO HII UNA NENO...
3 Reactions
167 Replies
14K Views
Mtu amekaa nyuma ya key board analeta thread hapa kuwa mke wake amekuwa jeuri. Sasa kama umefikia uzito huu mbio za riadha utaziweza? Amekuwa jeuri kwakua wewe umekuwa shost wake kitandani.
25 Reactions
149 Replies
58K Views
Habari wana JF, nimepata kufikiri jambo na nikaona bora tujadili sote. Ni hivi unakuta mwanamke ametoka kazini labda alivurugwa na mambo ya kazini kwake,kugombana na bosi wake, unakuta ana stress...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Ni swali tu nimelikuta sehemu
5 Reactions
104 Replies
9K Views
Salaaam.... Ngoja niende kwenye mada Bila kificho niwazi kwamba wahuni wanamthamini mtu na shida zake "regardless" anamkosea mungu au serikali. Ukipata "demu" hata kama huna pesa za kutosha yupo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna baharia hapa mtaani kwangu alikuwa ana mahusiano ya muda mrefu na binti flani hivi ambaye anaishi mtaa wa tatu toka hapa tulipo ninapoishi Mimi na huyo baharia........ Kwa kifupi mahusiano...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Mimi no kijana nipo Geita MBogwe husika na kichwa cha Uzi hapo juu wasichana wanazingua nipo siriazi miawe na miaka kunzia 28 had 35 kabila lolote Dino yeyote cha msingi awe na akili pevu katika...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimejaribu kudadisi jambo hili kwa kitambo kidogo Wanaume mara nyingi huwa tunabahatisha Kupata wanawake wa ndoto zetu kwa kuwa sisi mara kadhaa hupenda mwanamke kwa mara ya kwanza huenda kwa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Poleni na majukumu wana JF Naomba kujua kutoka kwa Wanaume walioko kwenye Ndoa na wana Nyumba ndogo, huwa ninasikia kwamba Mwanaume anapoamua kuoa ni kwamba huyo Mwanamke ndiyo chaguo lake sahihi...
4 Reactions
110 Replies
8K Views
Hawa kaka zetu wasiopima afya, wasio Fanta mazoezi na maisha yao sasa kutokana na kuwa kwenye ajira muda mrefu sasa wamekuwa vibosile kule kazini na marupurupu yana ahueni. Wale wenye biashara...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom