flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,342
Habarini ndugu zangu
Mimi umri wangu bado sijafikisha miaka 30 ila nimkubwa kiukweli yaani nimekuwa mkubwa. Swali langu hapo juu linajieleza,
Siku, miezi, miaka inavyozidi kwenda nimekuwa nikijiona zakari yangu ikiongezeka ukubwa. Sasa nauliza wataalamu zakari yangu itastop kuongezeka ukubwa pindi nikifikisha umri gani?
Mimi umri wangu bado sijafikisha miaka 30 ila nimkubwa kiukweli yaani nimekuwa mkubwa. Swali langu hapo juu linajieleza,
Siku, miezi, miaka inavyozidi kwenda nimekuwa nikijiona zakari yangu ikiongezeka ukubwa. Sasa nauliza wataalamu zakari yangu itastop kuongezeka ukubwa pindi nikifikisha umri gani?