Najaribu kutafuta tafsiri ya hawa wanawake, yaani unampigia sim mda ambao anatakiwa muonane mupashe kiporo moto gafla sim haipokelewi unasubiri labla unajipa moyo atakuwa yupo mbali na sim ile...
Habar zenu wana jukwaa la wapenda nao.
Leo napenda kusikia kutoka kwenu kuhusu Matukio au tukio La kujinga ambalo umewai kufanya au kufanyiwa na mpenzi wako.
Mm Nakumbuka nimewai kuombwa denda /...
Imenichukua kufatilia kaya kama sita kuja na uthibitisho wa hoja hii. Mjomba wangu ni mkristu mkatoliki yuko kwenye ndoa mseto kwa takribani miaka 27 na ndoa yao imekuwa ya mfano kwa kila mtu...
Wadau Salam, nianze kwa kumshukuru mungu kwa kunijalia uzima, Wadau Sasa naomba nijikite kwenye mada Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza,
Je nikweli mahali ambayo hutolewa pindi...
Ninao saba mwenzenu na mke mmoja,yaani najuta kujichomeka kwenye hii michezo,kinachoniuma sana mmojawapo kanizimia sana wakati mimi sina habari naye nilimpenda tu kabla hajachojoa nguo,nipeni...
Habari, hopefully mko wazima, likewise hapa, Mungu ni mwema sana. Good friends out there karibuni sana. Naitwa Nick, aged 33. Employed. Naishi Dar es Salaam. Thats all for now. Merci!
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, nina muda mrefu sana kila nikitaka kufanya mapenzi na mke wangu inakuwa ngumu sana dushe kuingia. Mpaka nifanye maandalizi kwa muda mrefu sana...
Wakati nimepumzika hapa nimejikuta nikiwaza mambo mawili matatu. Moja kati ya hayo mambo ni hili la mahusiano.
Kilichonipelekea kuanzisha huu, ni mkasa ambao nilikutana nao mimi mwenyewe. Wala...
Wakuu heshima kwenu, bila shaka weekend inaenda vyema kabisa.
Husika na kichwa cha uzi. Mchumba wangu nipo naye kwenye mahusiano kwa muda sasa na maandalizi ya ndoa yanaenda vyema kabisa...
Kijana ishi kama kijana,umri unakimbia kama magurudumu ya gari, kumbuka huwezi kurudi kuwa kijana.Ni aibu kijana kuishi maisha au mitazamo ya kizee,je ukiwa mzee utafanyaje?Ndio wale wakifika...
Habari zenu wana Janvi.
Baada ya kua wife majukumu yamembana sana nilibahatika kupata msichana wa kazi miaka 17 kutoka Tanga tangu niwe nae ni mwezi na nusu tuuuu.
Kwa bahati mbaya aliumwa...
Hellow guyz,
Natumai nyote ni wazima wa afya, wale wenye matatizo mbalimbali...... M/Mungu akawafanyie wepesi, AMEN.
Kama I'd yangu inavyojieleza, kwa jina naitwa Dr Sai, ni mtaalamu wa masuala...
1. Muite kwa jina lake la utani
2. Muache atumie mamlaka yake kama
kichwa cha nyumba.
3. Usimcheke akiwa ameumizwa na
jambo fulani.
4. Kaa kimya pale anapokuwa na hasira.
Unaweza ukaenda kumuomba...
"Oa! Ili usije ukawa unawatazama tazama hawa wanafunzi wetu wa kike" akaendelea na kusema "Haya chukua fedha hizi milioni 3 mkabidhi Mwalimu wako, halafu mwambie asije akazitumia kutolea mahari"...
Nimpendaye hana habari na mimi
Anayenipenda hata ajitahidi vipi tena jitihada zake za kunifurahisha ndio naziona kero sasa
Mungu angerahisisha tu awakutanishe kwa urahisi wapendanao kwa dhati na...
Hakika inaniumiza kichwa sana maana yaliyopita mengi yamepita.
Kusema kweli, natamani nikutane kwa mara nyingine wanawake wote niliowahi kutembea nao kipindi hicho ili niwaonyeshe uwezo na wapate...
Habari wakuu
Nimepata changamoto ya kimaamuzi hapa katika familia yangu hii ambayo nimedumu tangu nioe ni yapata mwaka mmoja sasa
Hivi majuzi mke wangu aliniletea ombi akihitaji nimpe kibali cha...
Habari za majukumu wanaJf,
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye soft copy au anajua the way barua ya kuchumbia kwa Bint ambaye natarajia aje kuwa mke wangu inaandikwa vipi ,naomba anisaidie maana...
Wakuu salama?
Kuna kitu kidogo sana huwa kinaniudhi (hasa zamani). Kwa utamaduni wa kitanzania unapokutana na mtu bila kujali kama unafahamiana naye, salamu huwa ni kitu cha msingi na kiungwana...