Mchumba wangu hapendi kufanya ngono, ninapata tabu sana

Mchumba wangu hapendi kufanya ngono, ninapata tabu sana

Mwifwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
48,765
Reaction score
126,676
Wakuu heshima kwenu, bila shaka weekend inaenda vyema kabisa.

Husika na kichwa cha uzi. Mchumba wangu nipo naye kwenye mahusiano kwa muda sasa na maandalizi ya ndoa yanaenda vyema kabisa. Nashukuru kwa hatua hiyo.

Mahusiano yetu yamekuwa ni ya kushibana, yamejaa upendo, furaha na amani lakini kama ilivyo kawaida mapungufu huwa hayakosekani kuhusu jambo husika.

Suala la mapenzi/tendo la ndoa, mwenzangu hana hisia nalo kabisa na halitilii umuhimu. Hili jambo linaniumiza kichwa sana na kupelekea kukosa usingizi usiku ukizingatia nina mpenda sana. Nimejaribu kumshawishi sana japo aoneshe hisia lakini imeshindikana, sijui tatizo ni nini..na sijaweza kulibaini hadi sasa.

Wakuu nifanyeje ili niweze kurudisha furaha ya mahusiano haya.Upendo bila mzizi wake wa tendo huo unakuwa sio upendo tena. nisaidieni nirejeshe upendo. Kama kuna aina yoyote ya dawa inayoweza kuboost hili tatizo nisaidieni niweze kumrejeshe mchumba hisia na hamu ya tendo.

Karibuni wana JF tuokoe MV Magogoni inazama huku, maana huu mwendo si rafiki kabisa inaweza kuzama muda wowote. Tumsaidie rafiki yangu aisee.
 
Je mwanzo wa mahusiano alikuwa anapenda na sasa hapendi.?
Au ni tangu umekuwa naye kwenye mahusiano?

Vipi ni kwamba hana hisia za kufanya mapenzi hata ukimchezea au ni hataki kabisa kusikia hata unajaribu kumgusa?
 
Wakuu heshima kwenu, bila shaka weekend inaenda vyema kabisa.

Husika na kichwa cha uzi. Mchumba wangu nipo naye kwenye mahusiano kwa muda sasa na maandalizi ya ndoa yanaenda vyema kabisa. Nashukuru kwa hatua hiyo.

Mahusiano yetu yamekuwa ni ya kushibana, yamejaa upendo, furaha na amani lakini kama ilivyo kawaida mapungufu huwa hayakosekani kuhusu jambo husika.

Suala la mapenzi/tendo la ndoa, mwenzangu hana hisia nalo kabisa na halitilii umuhimu. Hili jambo linaniumiza kichwa sana na kupelekea kukosa usingizi usiku ukizingatia nina mpenda sana. Nimejaribu kumshawishi sana japo aoneshe hisia lakini imeshindikana, sijui tatizo ni nini..na sijaweza kulibaini hadi sasa.

Wakuu nifanyeje ili niweze kurudisha furaha ya mahusiano haya.Upendo bila mzizi wake wa tendo huo unakuwa sio upendo tena. nisaidieni nirejeshe upendo. Kama kuna aina yoyote ya dawa inayoweza kuboost hili tatizo nisaidieni niweze kumrejeshe mchumba hisia na hamu ya tendo.

Karibuni wana JF tuokoe MV Magogoni inazama huku, maana huu mwendo si rafiki kabisa inaweza kuzama muda wowote. Tumsaidie rafiki yangu aisee.
Dawa ni moja tu mkuu,jifanye upo busy na simu ukiwa nyumbani na usiombe mechi hata ikiwezekana ipite mwezi mzima, halafu utakuja nipa feedback
 
Hii huwa inatoke sana kwenye mahusiano ambayo mwanaume ni mwaminifu sana utakuta mwanamke anamnyima mwenza wake huku akiamini jamaa yake ni mwaminifu hawezi chepuka..dawa ni moja tu its a safe approach and very compromised...kuwa tu busy na simu yako na wala usiombe mechi muda mrefu
 
Kuku wako manati ya nini brother mkuu ?

Usiumize sana kichwa, mkimaliza kufunga ndoa utapewa hadi uwe mtoro sogu kazini.. ila usisahu kuleta mlejesho
 
Kuna dada mmoja niliwahi kuwa nae kwenye mahusiano miaka iliyopita, mwanzo wa mahusiano alikuwa kama huyo wa kwako lakini kadiri siku zilivyosonga mbele alianza kubadilika akawa anapenda kutiana hadi nikabaki najiuliza nini kimemkumba!

Nilimfanyia utafiti nikagundua sababu ilikua ni yule mwanaume aliyekuwa naye kabla ya kukutana na mimi, kwanza wakati wa kumbikiri "alimbaka" (force impression), halafu alijijali yeye tu badala ya kuwa shirikishi, kwa mfano; hakumuandaa badala yake akawa akidindisha anamsokomezea liboloyanki lake anammwagia shahawa basi imetoka hiyo- matokeo yake akamsababishia hali ya kutoona umuhimu wa kuchapana miti.


Sasa alipokuja kukutana na maandalizi ya about thirty to forty five minutes, romance za kufa mtu lainiiiiii, mororoooooo balaaaaa, massage hadi anajikuta magoli yanamjia kama yote, kitumbua kinalowana chapachapa ukiweka kichwa tu inateleza inajaa mazima anabaki anaachama midomo ova anakata pumzi kuku akipiga makofi na kuzungumza kwa ishara zile za kusontea kule kwa down, ukimnong'oneza na maneno matamu yaliyojaa mahaba anabaki analia na kucheka kama chizi vile.

Unakuja kummaliza wakati wa mapumziko unamvalisha nguo kama vile vyupi vyupi na cheni na hereni na kadhalika ulivyomnunulia kama zawadi za surprise, ayaaaaa! Hakiyanani lazima akupanulie umtandike boloyanki tena na tena na tena


NB; ke anayebania puchi lake hapana aiseeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom