ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
Ninao saba mwenzenu na mke mmoja,yaani najuta kujichomeka kwenye hii michezo,kinachoniuma sana mmojawapo kanizimia sana wakati mimi sina habari naye nilimpenda tu kabla hajachojoa nguo,nipeni mbinu nichomoke vipi ili awe salama nisimwache na majeraha,hawa wengine sita sina ni rahisi sana nikiacha kuwarushia vocha tu najua wataanza wao kunibwaga, lakini huyu mwingine ni mtihani kwelikweli kipaumbele chake yeye ni mapenzi tu na sio pesa(Kajiajiri)