Dr Sai
Member
- Oct 2, 2019
- 41
- 52
Hellow guyz,
Natumai nyote ni wazima wa afya, wale wenye matatizo mbalimbali...... M/Mungu akawafanyie wepesi, AMEN.
Kama I'd yangu inavyojieleza, kwa jina naitwa Dr Sai, ni mtaalamu wa masuala ya saikolojia ya kijamii (social psychology). Nimekuja kwenu wakuu kuleta msaada wa kitaalam, juu ya changamoto/matatizo mbalimbali ya kijamii, hasa hasa katika uwanja mpana wa mahusiano ya kimapenzi (uchumba), ndoa na familia.
Hivyo naomba kuchukua nafasi hii, kutoa room ya kumsikiliza mtu yoyote yule, anayeona ana kumbwa na changamoto fulani katika masuala hayo...... Na ni matumaini yangu ya kwamba, nitakutana na watu wenye hekima na ustahivu!.
Mwisho, napenda kuwashukuru Mods na members wote, kwa ushirikiano wenu.
Asante.
Natumai nyote ni wazima wa afya, wale wenye matatizo mbalimbali...... M/Mungu akawafanyie wepesi, AMEN.
Kama I'd yangu inavyojieleza, kwa jina naitwa Dr Sai, ni mtaalamu wa masuala ya saikolojia ya kijamii (social psychology). Nimekuja kwenu wakuu kuleta msaada wa kitaalam, juu ya changamoto/matatizo mbalimbali ya kijamii, hasa hasa katika uwanja mpana wa mahusiano ya kimapenzi (uchumba), ndoa na familia.
Hivyo naomba kuchukua nafasi hii, kutoa room ya kumsikiliza mtu yoyote yule, anayeona ana kumbwa na changamoto fulani katika masuala hayo...... Na ni matumaini yangu ya kwamba, nitakutana na watu wenye hekima na ustahivu!.
Mwisho, napenda kuwashukuru Mods na members wote, kwa ushirikiano wenu.
Asante.