"Umeo?" Hapana, "Unasubiri nini?" ...!!

"Umeo?" Hapana, "Unasubiri nini?" ...!!

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,796
Reaction score
50,915
"Oa! Ili usije ukawa unawatazama tazama hawa wanafunzi wetu wa kike" akaendelea na kusema "Haya chukua fedha hizi milioni 3 mkabidhi Mwalimu wako, halafu mwambie asije akazitumia kutolea mahari" alisikika Mh. Rais Magufuli akimwambia Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Namanyere.
 
"Oa! Ili usije ukawa unawatazama tazama hawa wanafunzi wetu wa kike" akaendelea na kusema "Haya chukua fedha hizi milioni 3 mkabidhi Mwalimu wako, halafu mwambie asije akazitumia kutolea mahari" alisikika Mh. Rais Magufuli akimwambia Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Namanyere.
Dear marxlups
Our struggle is very very bitter yet essential for our survival 🙄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom