mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Habari zenu wana Janvi.
Baada ya kua wife majukumu yamembana sana nilibahatika kupata msichana wa kazi miaka 17 kutoka Tanga tangu niwe nae ni mwezi na nusu tuuuu.
Kwa bahati mbaya aliumwa Jumatatu ya tarehe 30/9/2019 nilimpeleka hospital alipata dawa ila sijaona mabadiliko ya kupona hadi kufikia Alhamis 3/10/2019 nikaona nimpeleke tema hospitali nyengine.
Kufika hospitalini akaingia peke yake akampatia maelezo daktari anavyojisikia daktari akamuambia kapime H. I. V aliponiambia nikamtoa akili yule daktari ila nikamuambia wacha twende ila huyu daktari sie.
Baada ya kupimwa Mungu wangu nilikaribia kutoka roho machozi yakanitoka mimi na huyo mtoto kilio kikatawala alikutwa yuko na H.I.V POSITIVE walijitahidi kutupa ushauri na dawa ila walichukua namba ya simu yangu na kusema mimi ndio zamana ya muhanga yule kama hakuenda kuchukua dawa nitajibu.
Najikuta sina jinsi ila kumrejesha kwao hivi niko safarini kuelekea Tanga sijui wazazi wake watalipokeaje hili huku ukizingatia kwa mama yeye ndio mtoto pekee ama nikifika nimuache tuuu nigeuze namuonea huruma masikini Mungu kampa mtihani mkubwa kulingana na umri wake .
Naombeni ushauri
Baada ya kua wife majukumu yamembana sana nilibahatika kupata msichana wa kazi miaka 17 kutoka Tanga tangu niwe nae ni mwezi na nusu tuuuu.
Kwa bahati mbaya aliumwa Jumatatu ya tarehe 30/9/2019 nilimpeleka hospital alipata dawa ila sijaona mabadiliko ya kupona hadi kufikia Alhamis 3/10/2019 nikaona nimpeleke tema hospitali nyengine.
Kufika hospitalini akaingia peke yake akampatia maelezo daktari anavyojisikia daktari akamuambia kapime H. I. V aliponiambia nikamtoa akili yule daktari ila nikamuambia wacha twende ila huyu daktari sie.
Baada ya kupimwa Mungu wangu nilikaribia kutoka roho machozi yakanitoka mimi na huyo mtoto kilio kikatawala alikutwa yuko na H.I.V POSITIVE walijitahidi kutupa ushauri na dawa ila walichukua namba ya simu yangu na kusema mimi ndio zamana ya muhanga yule kama hakuenda kuchukua dawa nitajibu.
Najikuta sina jinsi ila kumrejesha kwao hivi niko safarini kuelekea Tanga sijui wazazi wake watalipokeaje hili huku ukizingatia kwa mama yeye ndio mtoto pekee ama nikifika nimuache tuuu nigeuze namuonea huruma masikini Mungu kampa mtihani mkubwa kulingana na umri wake .
Naombeni ushauri