Nimpendaye hana habari na mimi
Anayenipenda hata ajitahidi vipi tena jitihada zake za kunifurahisha ndio naziona kero sasa
Mungu angerahisisha tu awakutanishe kwa urahisi wapendanao kwa dhati na si kwa sababu fulani.
Eeh Mungu twakuomba utusikie!
Anayenipenda hata ajitahidi vipi tena jitihada zake za kunifurahisha ndio naziona kero sasa
Mungu angerahisisha tu awakutanishe kwa urahisi wapendanao kwa dhati na si kwa sababu fulani.
Eeh Mungu twakuomba utusikie!