Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mkeo anarudi nyumbani kavimba vibaya usoni, unamuuliza anakujibu kuwa kakutana na vibaka wamemvamia na kumpiga, lakini ukimcheki kwa makini unakuta kila kitu chake amerudi nacho na kiko salama...
4 Reactions
32 Replies
4K Views
Mods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi. Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/=" Ndugu zangu mimi...
14 Reactions
63 Replies
6K Views
Wanajukwaa hope mko fine, nitaenda direct kwa topic. Wanaume wengi wamekuwa wakichochea kauli mbaya na za kukatisha tamaa sisi tunaosomesha, nasema mshindwe kwa jina la Yesu. Kama wewe...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
__ BIKRA YANGU __ ____ Sehemu ya Kwanza __ [emoji117] Tunaanza Jina langu naitwa LIDYA nina miaka 17 ni mtoto wa mwisho wa kike katika familia ya mzee MUSSA, baba yangu ni HAKIMU na mama yangu...
3 Reactions
29 Replies
14K Views
Ni usiku wa manane, Diamond yupo chumbani kwake, alikuwa amechoka, usingizi haumpati kwa sababu anaifikiria safari yake atakayoianza kesho kuelekea kwenye matamasha yake nchini Marekani. Kichwani...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Yaani nikipanga kukutana na mwanamke tu, basi either nitaumwa au kutatokea dharura itakayonitaka nitoe hela hadi niliyopanga kwa kutumia maeneo. Mara nyingi nimekuwa nikicancel appointment hadi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salaam.... Kwa muda wa takribani miaka minne nimekua ktk mahusiano na mrembo mmoja ambae kwa sasa anasoma chuo kimoja dodoma na mimi nikiwa kanda ya ziwa Tulikutana masomoni tukafahamiana...
2 Reactions
52 Replies
6K Views
Nimekaa na kuwaza sana baada ya kuangalia ile clip ya Rwakatare kuhusu ule upepo sijui unaitwaje nimeusahau na jina. Sasa nikajiuliza, hawa viumbe mbona wakija humu ndani kututafuta wanaleta...
32 Reactions
251 Replies
20K Views
Kuna umri unafika unabadilika kabisa, yaani siamini ndio mimi huyu ama? Nasafiri niko kwenye bus, nimekaa na katoto kazuri balaa, na kanarespond vizuri sana. Tumeshuka kupata msosi kapo na mim...
10 Reactions
89 Replies
8K Views
Wanasema baraka zikifunguliwa humiminika kwa pamoja ila najiuliza kwa hili tuite nazo ni baraka ama mtego! Wiki iliyopita nimepokea appointment ya kutembelewa wasichana watatu tofauti ambao...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa, Hakika jana haikuwa siku nzuri kwangu,kama mnavojua nilishasema kwamba nina watoto watatu wa mama tofauti, kuna Travis, Sean na Moureen. Sasa iko hivi, ni kwa muda mrefu...
7 Reactions
197 Replies
24K Views
Habari zenye wadau, niende moja kwa moja katika kisa changu. Jana nikiwa nafanya mazoezi home mara simu ikaita kwa namba ngeni. Ikabidi nipokee nikamweleza nipo katika mazoezi. Dadika mbili...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, jpili imeendaje? najua iko poa sana, japo mambo taiti lakini tukomaeni ndugu tutatoboa tuu. twende kwenye point sasa, mwezi wa kumi huu nilikua nina ratiba zangu za kuwahi VETA...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Mabaharia wenzangu kifupi nina mpenzi wangu ni bikra. Lakini ninapofikilia kumpiga mashine napatwa n huruma sana. Nimedumu nae miez 6 hii inanifanya nipge madem wengne . ok nisaidieni hakuna...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Ukweli ni kwamba kama wewe ni mwanaume ukicheza mechi 15 kuna mbili unaweza kukuta unarudi nyuma kuzuia mashambulizi,na zingine za ushindi na nyingine Droo hali ndio ipo hivyo!,Japo watakuja...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke . Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu...
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Hili nmeona nilizungumze baada ya jamaa mmoja kulizungumza kwa uchungu mkubwa sana. Naandika kama alivyoliwasilisha kwangu na katika moja ya comments zake humu JF. "Kusema ukweli moja ya watu...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa jina naitwa pol kjna wa miaka 24 ni muhitim wa chuo kikuu.,kitu kilichonivuta niandike katka thread hii ni uitaj wa mschana mwny mapnz thabt ,kuna msemo usemao "every successful man there is...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wanawake mara nyingi husamehe kama mwanaume amecheat halafu wanaweza kuendelea na mahusiano na huyo mwanaume aliyemcheat kama kawaida bila tatizo. Husamehe kutoka moyoni. Lakini tofauti na...
5 Reactions
86 Replies
15K Views
Wadau ukimya umenishinda, leo ni siku ya saba tunakutana lakini nimeshindwa kutoboa nyavu. Mwenye ujuzi naomba ajitokeze anisaidie maana binti mwenyewe anabana miguu kwa nguvu mpaka nashindwa...
10 Reactions
119 Replies
28K Views
Back
Top Bottom