Je, Mungu ananiepusha na zinaa?

Je, Mungu ananiepusha na zinaa?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,743
Reaction score
6,240
Yaani nikipanga kukutana na mwanamke tu, basi either nitaumwa au kutatokea dharura itakayonitaka nitoe hela hadi niliyopanga kwa kutumia maeneo.

Mara nyingi nimekuwa nikicancel appointment hadi inafika wakati nahisiwa jogoo hapandi mtungi.

Ni wito wa uchungaji au nini?
 
Sometimes ni mazoea ya kiroho/mwili.. haijawahi kukutokea kwamba ikifika muda fulani lazima kitu fulani kitokee. Mfano ukipita mahali laizima ukifika eneo fulan mkojo unakubana☺☺ Hio ni kutokana na mwili ulivyozoea. Sasa wewe ushakariri kabisa kua ukipanga miadi na demu hatokei..na hatotokea kweli kwa sababu yoyote ile. Hapo ndio utajua power of Postive Thoughts.. ndio maana mwashauriwa kujiwazia mema..
Someni Someni how subconscious mind works..
 
Nakukumbusha kwa sauti ya chini.

Usije ukatoa akiba yako,
Ukapeleka kwenye bajeti za ngono acha kabisa.
 
Yaani nikipanga kukutana na mwanamke tu, basi either nitaumwa au kutatokea dharura itakayonitaka nitoe hela hadi niliyopanga kwa kutumia maeneo.

Mara nyingi nimekuwa nikicancel appointment hadi inafika wakati nahisiwa jogoo hapandi mtungi.

Ni wito wa uchungaji au nini?
Mungu hataki kukupoteza kizembe.
Bado kuna kazi nyingi ameziandaa kwa ajili yako ili uzitekeleze.
 
Back
Top Bottom