Naomba ID yangu iheshimiwe tafadhali

Naomba ID yangu iheshimiwe tafadhali

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,322
Reaction score
4,211
Mods naomba muuache ujumbe huu uwafikie wana MMU wengi.

Limeibuka kundi la watu wengi humu ndani wamenipachika jina la 7800/= na wengine wengine wananiita "BAHARIA WA 7800/="

Ndugu zangu mimi siitwi 7800/= na wala mimi sio baharia kabisa ila mimi naitwa MAGALLAH R.

Naomba ID yangu izingatiwe. Ninasistiza tena mimi sio "BAHARIA WA 7800/=. Nadhani tumeelewana. PUUUUUUUMBAVU SANA.
 
Umeeleweka baharia wa 7800/=
tapatalk_1546760200970.jpeg
 
Kwamba baharia wa buku saba mia nane

Lilianzia wapi mkuu baharia wa 7800
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]comments n kiboko
 
Back
Top Bottom