Kichwa hapo juu kigumu kidogo kueleweka lakini utakielewa tu.
Ipo hivi, wanawake wa kileo kabla ya ndoa huwa na hamu sana ya kuolewa ila hushindwa kutambua vitu muhimu anavyotakiwa azingatie...
Walio serious kutafuta ndoa/wenza sahihi wanakutana na magumegume but players ndiyo wanapata watu sahihi na kuishia kuwaumiza bure.
Wakuu, kifanyike nini ili mambo yaende sawia kila mtu akutane...
Habari wana Jf.
Mimi ni msichana umri kati ya Miaka 23hadi25 nilibahatika kupata kijana ambaye tulipendana tukawa kwenye mahusiano takribani Miaka miwili hatimaye Mwaka jana December tulifunga...
Takwimu zinasema kwamba Jiji la Dar es salaam linaongoza kwa tatizo la erectile problems.
Hivyo badala ya Mkuu wao wa mkoa kuhangaika na na matatizo ya wanawake kukosa ndoa angeshughulikia hili la...
Kuna siku nilihudhuria event moja hivii, tukawa tunahudumiwa na warembo kama watano hivi na walikuwa wamejipamba vizuri kweli; kutokana na kazi ya macho nikuona nikajikuta nawatazama tu, na moyo...
Habari wanabodi.
Kwa muda nimekuwa msomaji tu wa posts katika majukwaa mbalimbali humu ndani. Leo nimeona nami niwasilishe mada ama dukuduku langu yamkini naweza pata mtu au watu wa kunishauri...
Husika na heading, nahitaji mwanamke (fiance) anayejielewa vyema kuanzia umri wa miaka 22 , elimu sio kigezo sana, kuanzia form 4 akiwa anajua hesabu kiasi itakuwa vyema.
Usiwe mfupi, maana...
Nimekuwa na uhusiano wa pembeni wa hapa na pale, kwa ajili ya kupooza injini pale inapopata moto. Mbaya zaidi hawa warembo wangu wamekuwa na tabia ya kunijulia hali hata kama ni usiku wa manane...
Tumezoea kesi nyingi za wanawake wananyanyaswa kingono na wanaume, lakini tunafumbia macho upande wa pili wa shilingi, wanaume pia hunyanyaswa kingono na wanawake, cha kusikitisha wanaume hawasemi...
1.ANAKUFUMANIA: Analia,
ananyamaza, anasononeka, unambembeleza
anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!
2. UNAZAA NJE YA NDOA:
Anasononeka na kulia sana . Anakuchukia, lakini baadaye...
Mapenzi yanahitaji uvumilivu mkubwa sana,haimaanishi hawa wanaotalakiana,wanaouana n.k kuwa mwanzoni hawakupendana sana. Suluhu pekee kwa mtu aliyekomaa kimahusiano........
Unavyoingia katika...
Hakuna mwanaume aliye single ambaye kila siku akitoka nyumbani kwake anajisemea ngoja nitafute mke kama vile anavyotafuta funguo, simu au fedha aliyopoteza. Haipo hiyo.
.
Mwanaume siku zote...
MAJUKUMU YA MKE
JUKUMU KUBWA LA MKE NI KUMPA UTULIVU MUME...
YAANI KUMTULIZA MUME KUTOKANA NA YALE MAMBO AMBAYO YALIKUWA YAKIMSHUGHULISHA...
MKE NI UTULIVU WA MUME
MKE NI STAREHE YA MUME
MKE NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.