Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Closed
Habari wana jamii najitokeza humu kutafuta mwenza wa maisha ambaye yupo tayari kuwa mama wa familia. Wasifu .miaka 33 Dini - mkristo kkkt Elimu - kidato cha sita Kazi - jobless Makazi - dar es...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kila kukicha nimekuwa nikisoma matangazo ya kutafuta wapenzi, wachumba, mke na mume,tena yanaongozana ladies na gentleman najiulizaga si mtafutane mambo yawe rahisi tu. Lakini sijawai kusoma...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
WanaJF poleni na COVID-19. tuendelee kuchukua taadhari , wafanyakazi nawatakieni may mosi njema, wasio na kazi muendelee kutafuta kazi wala msikate tamaa mungu atajibu maombi yenu.back to the...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Good luck
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za humu wanajamii. Najua huku wapo watu wa aina mbalimbali walioolewa na wale ambao bado na kwa namna moja au nyingine wanahitaji wapate wenza wao kupitia huku au hata kwingineko. Binafsi...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Ndungu zangu nimejitolea kwenu bila woga,hofu Wala mashaka natambuwa wazi si kila mmoja wetu atavutiwa na hili Ila naamini Mungu ni mwaminifu naweza fikia malengo katika mazingira haya. Kiukweli...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta mume muislam anayetokea Tanga, miaka 35_45, mimi ni mwajiriwa.
1 Reactions
43 Replies
12K Views
Mimi nina miaka 33 natafuta mchumba/mke mwenye sifazifuatazo. 1. Aliye na hofu ya Mungu. 2. Dini awe Mkristo (born again christian) 3. Awe mtumishi wa umma/mfanyabiashara. 4. Asiye na mtoto. 5...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naitwa Luca N Lushanga Nipo Geita Natafuta Mpenzi Na baadae Mke Umri Wangu Miaka 26. Nahitaji Mwanamke Anaejitambua asiwe Mlevi Wa pombe Pia awe Anajua nini Maana ya Mme. Kwa Mdada Aliyetiari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Assalam alykum Natafuta mwanamke wa kumuoa awe muislam ana maadili mazuri ya kiislam. Umri wake kuanzia 23 hadi 30. Mi ni mwislam umri wangu 30 Nimeajiriwa Naishi Dar es salam Aliekuwa tayari...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Iam a : man Country : Tanzanian City : Dar es salaam. Seeking a : Woman Looking for : Marriage serious. relationship. Marital...
4 Reactions
105 Replies
7K Views
Naitwa Iman Umri miaka 26 Nimejiajiri nb. Mkurugenzi wa Kampuni Makazi: SHINYANGA SIFA ZA MSICHANA HUYO - Awe mkristu -black beauty - awe mtiifu - awe mkweli -urefu wa kati -umbo la kati -...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Ndungu zangu nimejitolea kwenu bila woga,hofu Wala mashaka natambuwa wazi si kila mmoja wetu atavutiwa na hili Ila naamini Mungu ni mwaminifu naweza fikia malengo katika mazingira haya. Kiukweli...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanasema hakuna marefu yasiyo na ncha. Ni takribani 5yrs imepita tangu nifiwe na marehemu mke wangu. Mara baada ya mama watoto wangu kufariki nilikuta nimeingia katika mapenzi na mama mmoja ambae...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Mimi naitwa Jeff nakaa Dar. Nina miaka 40 natafuta mwanamke ambaye tutakubaliana kuoana. Nimeajiriwa na pia Nina shughuli zangu ndogondogo. Awe mwembamba asiwe mnene hata akiwa mnene asiwe na...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Mimi Ni kijana mwanachuo (20-24) ndo umri wangu Takribani miezi mitatu imepita tokea niachwe na mwanamke niliempenda kwa dhati Nimepata shida kumsahau ingawa kidonda ndio...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuhusu Mimi; Umri: Miaka 35 Kazi:Mwajiriwa Serikalini Elimu:Shahada ya uzamili katika maswala ya anatomia ya binadamu.(Human Anatomy) Familia/Mahusiano:Sina mtoto wala mke ingawaje niliwahi...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Umri wangu ni Miaka 34 Mrefu, Mweusi Mkristo, Nimeajiriwa Botswana, kwa Sasa likizoni Tanzania, Niliwahi kuoa ila ndoa ikawa ndoano, Aliyekua mke wangu ni kama ya (Frola Mbasha). Mwanamke...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Wadau, Mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12, nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo, natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha...
6 Reactions
74 Replies
12K Views
Mimi ni mwanaume, 44 yrs Nina watoto wawili Nimejiajiri kwa shughuli zangu binafsi hapa Dsm Dini yangu ni Mkristo , Mwanamke anaehitajika, Mkristo wa dhehebu lolote , umri, elimu na kabila so...
3 Reactions
1 Replies
926 Views
Back
Top Bottom