Natafuta Mchumba/Mke

Mlimao

New Member
Sep 11, 2012
3
0
Mimi nina miaka 33 natafuta mchumba/mke mwenye sifazifuatazo.

1. Aliye na hofu ya Mungu.
2. Dini awe Mkristo (born again christian)
3. Awe mtumishi wa umma/mfanyabiashara.
4. Asiye na mtoto.
5. Umri miaka 27-30.
6. Mwenye kupenda maendeleo.
7. Mwenye kujituma na kujishughulisha.

Mwenye sifa hizo hapo naomba anicheki PM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom