Natafuta mume awe muislam na anayetokea Tanga

Wengi tu wako kama wewe. Mara muslamu mara wa Tanga too much conditions.Je wewe una sifa gani? Uko je? Unavutia au bado?
 
Tangu mwezi wa 7 unaiboost mwezi wa 10? Hapo katikati ulikuwa bado unatafuta?
 
Dada Taslimu,
Tanga ni karibu sana na Zanzibar, kama hujampata Mtanga, je, utamkubali Mzanzibari?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom