Natafuta mwanamke wa kuzaa nae tu

Mello

Senior Member
May 7, 2017
110
206
Umri wangu ni Miaka 34 Mrefu, Mweusi Mkristo, Nimeajiriwa Botswana, kwa Sasa likizoni Tanzania, Niliwahi kuoa ila ndoa ikawa ndoano, Aliyekua mke wangu ni kama ya (Frola Mbasha). Mwanamke ninayemhitaji ni mwenye Elimu ya wastani, Age 25 - 30, dhehebu lolote ila mcha Mungu, Mwenye kuvutia, kazi si Lazima maana ninajitosheleza. Kwa Mwanamke aliye serious Akuje tuongee.
 
Kwa hiyo wewe unataka matunda tu, mti hauta upogelea baadae ili uchanue tena!!!
 
naanza kuamini slogan hii wanawake ni watu wa kudanganywa, jamaa kaamua kuwa wazi nia yake ili baadae asijekukutia mimba akachukua mtoto akakutana na swali la ndoa lini!? mkaanza kutafutana uchawi wa mapenzi
Nimejaribu kuwa wazi sana, kwa sasa ndoa sihitaji, maana najua niliyoyapitia, sasa mtu asinielewe vibaya, Kwann Wanawake wanapenda kudanganywa. Mimi nitakua Baba wa mtoto mwenye Mapenzi kwa Mtoto na Mama aliyenizalia, si Lazima Tuoane.
 
Hivi mmekumbwa na pepo gn
Nimejaribu kuwa wazi sana, wala Si Pepo, inawezekana ww ndo una Pepo la Ndoa. Mtoto Pekee ndo anaweza akanifanya nikupende na kukuheshimu Pengine hata zaidi ya vile ningekuoa. So relax [HASHTAG]#Dope[/HASHTAG]
 
kwa hiyo unataka kuzini uendelee kuleta duniani watoto wa wazinaa?
subiri wazinifu wenzako waje wala usitegemee kupata mwanamke anaejielwa na kuthamin heshima yake
Wewe Umezini mara Ngapi nje ya Ndoa yako? Kama ulikua unaheshimu na kuthamini Ndoa yako, kwann unazini Nje ya Ndoa yako. Rejea Andiko langu, Mm nilishakua na ndoa, kwahiyo siwezi kuoa Tena. Huo ndo Ukweli ingawa ni Mchungu kwako. [HASHTAG]#Pitatumkuu[/HASHTAG].
 
kwa hiyo unataka kuzini uendelee kuleta duniani watoto wa wazinaa?
subiri wazinifu wenzako waje wala usitegemee kupata mwanamke anaejielwa na kuthamin heshima yake
wajitokeze kwa ukweli nani asie zini dunia hii
 
Wewe Umezini mara Ngapi nje ya Ndoa yako? Kama ulikua unaheshimu na kuthamini Ndoa yako, kwann unazini Nje ya Ndoa yako. Rejea Andiko langu, Mm nilishakua na ndoa, kwahiyo siwezi kuoa Tena. Huo ndo Ukweli ingawa ni Mchungu kwako. [HASHTAG]#Pitatumkuu[/HASHTAG].
wewe oa tu tena mkuu Mungu atakusamehe ila approach unayotaka kuitumia ni mbaya zaid
 
Nimejaribu kuwa wazi sana, wala Si Pepo, inawezekana ww ndo una Pepo la Ndoa. Mtoto Pekee ndo anaweza akanifanya nikupende na kukuheshimu Pengine hata zaidi ya vile ningekuoa. So relax [HASHTAG]#Dope[/HASHTAG]
Vijana acheni kuvuta bangi.kama shida ni mtoto peke yake nenda kwenye vituko vya kulelea mayatima ukachukue hata 10 ukitaka.
 
Nimejaribu kuwa wazi sana, kwa sasa ndoa sihitaji, maana najua niliyoyapitia, sasa mtu asinielewe vibaya, Kwann Wanawake wanapenda kudanganywa. Mimi nitakua Baba wa mtoto mwenye Mapenzi kwa Mtoto na Mama aliyenizalia, si Lazima Tuoane.
Umevamiwa rohoni, ila huwezi jua hilo!
 
Umri wangu ni Miaka 34 Mrefu, Mweusi Mkristo, Nimeajiriwa Botswana, kwa Sasa likizoni Tanzania, Niliwahi kuoa ila ndoa ikawa ndoano, Aliyekua mke wangu ni kama ya (Frola Mbasha). Mwanamke ninayemhitaji ni mwenye Elimu ya wastani, Age 25 - 30, dhehebu lolote ila mcha Mungu, Mwenye kuvutia, kazi si Lazima maana ninajitosheleza. Kwa Mwanamke aliye serious Akuje tuongee.
Ukikolea je?
 
Nimejaribu kuwa wazi sana, wala Si Pepo, inawezekana ww ndo una Pepo la Ndoa. Mtoto Pekee ndo anaweza akanifanya nikupende na kukuheshimu Pengine hata zaidi ya vile ningekuoa. So relax [HASHTAG]#Dope[/HASHTAG]
Kila la kheri mkuu
 
Umri wangu ni Miaka 34 Mrefu, Mweusi Mkristo, Nimeajiriwa Botswana, kwa Sasa likizoni Tanzania, Niliwahi kuoa ila ndoa ikawa ndoano, Aliyekua mke wangu ni kama ya (Frola Mbasha). Mwanamke ninayemhitaji ni mwenye Elimu ya wastani, Age 25 - 30, dhehebu lolote ila mcha Mungu, Mwenye kuvutia, kazi si Lazima maana ninajitosheleza. Kwa Mwanamke aliye serious Akuje tuongee.

Mkuu ukipata nitarifu na mm maana naona kama tuna wazo moja ..... Mm pia naitaji mwanamke wa kuzaa nae tu ila cio kuoa .... Vigezo awe mrefu kias rangi cio tija ila awe mzur atleast awe na elimu diploma pia awe najua kuongea vzur English or French even Spanish coz mm mwenyewe nipo vzur kw izo lugha so nataka mwanangu pia awe naongea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom