nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,117
- 1,827
Kwa mrembo aliye tayari natafuta dada wa kuzaa naye, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35. Mimi binafsi nina 38 na nina kazi nzuri ya kuweza kumhudumia mtoto. Nimeoa. Kwanini nataka mtoto nje ya ndoa? Mke wangu hataki kuzaa watoto zaidi ya wawili na kusema kweli naitaji na ninapenda kuwa na watoto wengi. Aliye tayari tafadhali aje inbox. Ninatagharamia mahitaji yote ya mtoto na mama yake.