VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 402
- 539
Ni kijana mwenye miaka 26.Elimu nilifika fika chuo lakini sikufanyikiwa kumaliza.Lakini haikunizuia kuweza kutimiza malengo yangu kwani nilipambana na kujiajiri mwenyewe.
Sasa wazazi baada ya kuona kipato changu kinaridhisha wamenishauri nitafute mke nioe.nataka mtu aliyetulia asiyependa makuu mwenye spirit ya kumpabana kama mimi.
Ahsanteni
Sasa wazazi baada ya kuona kipato changu kinaridhisha wamenishauri nitafute mke nioe.nataka mtu aliyetulia asiyependa makuu mwenye spirit ya kumpabana kama mimi.
Ahsanteni