Ukinenacho ndicho kitokeacho.......ongeza juhudi kwenye maombi.Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.
Jamani nimemzimikia huyu babu mwenye tiba ya ajabu.
Naamini siku moja nitakuwa bibi yenu.
Naomba mniombee ndoto yangu itimie.
Rev wa ukweli unatumia tigo? Hamia airtel ujisikie huru
Rev wa ukweli, tigo inasumbua, sometimes huwa inakuwa off air kwa siku tano. Hamia airtel
Babu kaishaingia menopause ya nguvu. Utaihimili?
Naelezea hisia zangu shosti. Wkend hii nataka nikarushe ndoana huko Loliondo