Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natumaini nyote wazima wa afya na mungu atuepushe na magonjwa yote hatarishi Amen! Wakuu hapa nina swali la kizushi. Yeyote mwenye wazo karibu :)! Kuna umuhimu gani wa kusheherekea siku ya...
5 Reactions
192 Replies
12K Views
Mim Nina sifa zifuatazo Jinsi Mwanamme Umri miaka 29 Dini mkristo Elimu Bachelor degree Kazi Nimeajiriwa Makazi Dar es salaam Mhusika awe na sifa zifuatazo Jinsia Mwanamke Miaka chini ya 25 Dini...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya...
7 Reactions
65 Replies
8K Views
Habari zenu wapendwa, Samahani kwa kuwapotezea wakati, Niko hapa kutafuta mume kwa mwanaume aliyeserious tuanzishe mahusiano baada Mungu akipenda tufike hatua ya ndoa. Sifa zangu; Umri: 31...
16 Reactions
93 Replies
56K Views
Hbr wadau mimi ni mwanaume mwenyewe miaka 48 nahitaji single mother mmoja mzuri mwenye umbo flani hivi kama number 8 ,na mwenye kuishi dar au mkoa wa jirani kama moro au tanga aje dm...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahitaji mpenzi hili tukikubaliana tuoane. Sifa zangu 1.Mim ni mfupi , mnene na rangi yangu mweusi. 2.miaka yangu ni 39 3. Ni muajiriwa sekta binafsi 4.Nina watoto wawili midume 5.Naishi mwanza...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Naimani wote ni wazima namshukuru Mungu pia nami ni mzima,nimekuja mbele yenu tena maana mtafutaji hachoki na hakichoka ujuwe kapata. Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa Mke wangu: SIFA ZANGU...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Bila shaka mu wazima, Naitwa David naishi chanika Dsm, Umri-30 Dini- mkristo Kazi- biashara Elimu- diploma Nahitaji binti umri asizidi 30 Mcha Mungu Pia awe mkristo Mpambanaji kama mimi...
1 Reactions
4 Replies
951 Views
Habari bado sijampata mke wa kuoa, natafuta mke mwenye umri 18-28. Sina ubaguzi wa Elimu yake, kabila, Wala dini. Mimi ni mkristu, Elimu ya Chuo Kikuu, mwajiriwa, naishi Dar kwa Sasa Karibu PM...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke aliyetayari kwa marriage si ngono. Sijawahi kuoa ila ninaye mtoto wa kike wa miaka 7. Umri wangu miaka 39. Mbali na tabia njema, pia ninavutiwa na mwanamke maji ya kunde, mrefu...
1 Reactions
1 Replies
944 Views
Nimeamua kuacha kasumba zangu na kutafuta mke (muislamu) WASIFU WANGU - Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30. Muislamu (msomi kiasi wa dini) mrefu mweusi mwajiriwa sina gari sina nyumba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Vigezo awe mrefu au wastani, mweupe wa asili au maji ya kunde. Umri chini ya miaka 25. Dini yoyote ile ila akubali kuolewa na mkristo. Elimu level yoyote ile ila aweze kutunza familia. SIFA ZANGU...
1 Reactions
4 Replies
969 Views
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu Nina umri wa miaka 30 Dini muislamu Muajiriwa serikalini! Nina mtoto 1 Makazi mbeya Sifa za mwanamke ninaye muhitaji Umri miaka 23-32 Awe muislamu Elimu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Umuofia kwenu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 napatikani mkoani Dodoma,nahitaji kampani ya mdada mtu mzima mwisho 35 na asiwe chini ya 28 na awe na shughuli zake ,tafadhali kama una sifa...
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Awe na sifa zifuatazo: Umri 20-25 Muislam Mweupe Mwenye elimu yeyote Mchapakazi Mkazi wa Dar es salaam Umri wangu 26 Nmejiajiri fundi AC Naishi Tegeta Njoo pm kma upo tayari
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Majirani wetu mpoo! I'm 25yrs lady from Kenya searching for my better half 30-50yrs. Note: Sina mtoto, I'm a teacher so the man lazima awe na kazi nisije kulala njaa.
4 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari za humu ndani wanajamvi, Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo. Sifa zangu Mkristo nilieokoka nampenda Yesu Miaka 28 elimu diploma...
13 Reactions
154 Replies
12K Views
Wapendwa Najitokeza tena kwenye jukwaa hili, kuchukua hii fursa ya kujitafutia mwenza aliyeko tayari kuanza maisha; sifa zangu; Nina umri wa miaka 39 Sijawahi kuolewa wala sina mtoto Naishi Dar...
14 Reactions
108 Replies
14K Views
Habar zenu wadau,, Mim sio muandishi mzuri sana ila nimekuja hapa natafuta rafiki wa kike,,, mimi age yangu 28yrs mbishe zangu nafanyia dar es salaam nmeajiriwa kibishi,, rafiki age yoyote ile...
1 Reactions
1 Replies
618 Views
  • Closed
Am a Tanzanian Woman. Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi. Mimi Nimetengana na Mume wangu. Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya...
69 Reactions
901 Replies
218K Views
Back
Top Bottom