Natumaini nyote wazima wa afya na mungu atuepushe na magonjwa yote hatarishi Amen!
Wakuu hapa nina swali la kizushi. Yeyote mwenye wazo karibu :)!
Kuna umuhimu gani wa kusheherekea siku ya...
Mim Nina sifa zifuatazo
Jinsi Mwanamme
Umri miaka 29
Dini mkristo
Elimu Bachelor degree
Kazi Nimeajiriwa
Makazi Dar es salaam
Mhusika awe na sifa zifuatazo
Jinsia Mwanamke
Miaka chini ya 25
Dini...
Nina miaka 28,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya...
Habari zenu wapendwa,
Samahani kwa kuwapotezea wakati, Niko hapa kutafuta mume kwa mwanaume aliyeserious tuanzishe mahusiano baada Mungu akipenda tufike hatua ya ndoa.
Sifa zangu;
Umri: 31...
Hbr wadau mimi ni mwanaume mwenyewe miaka 48 nahitaji single mother mmoja mzuri mwenye umbo flani hivi kama number 8 ,na mwenye kuishi dar au mkoa wa jirani kama moro au tanga aje dm...
Nahitaji mpenzi hili tukikubaliana tuoane.
Sifa zangu
1.Mim ni mfupi , mnene na rangi yangu mweusi.
2.miaka yangu ni 39
3. Ni muajiriwa sekta binafsi
4.Nina watoto wawili midume
5.Naishi mwanza...
Naimani wote ni wazima namshukuru Mungu pia nami ni mzima,nimekuja mbele yenu tena maana mtafutaji hachoki na hakichoka ujuwe kapata.
Nahitaji mwanamke ambaye atakuwa Mke wangu:
SIFA ZANGU...
Bila shaka mu wazima,
Naitwa David naishi chanika Dsm,
Umri-30
Dini- mkristo
Kazi- biashara
Elimu- diploma
Nahitaji binti umri asizidi 30
Mcha Mungu
Pia awe mkristo
Mpambanaji kama mimi...
Habari bado sijampata mke wa kuoa, natafuta mke mwenye umri 18-28. Sina ubaguzi wa Elimu yake, kabila, Wala dini.
Mimi ni mkristu, Elimu ya Chuo Kikuu, mwajiriwa, naishi Dar kwa Sasa
Karibu PM...
Natafuta mwanamke aliyetayari kwa marriage si ngono. Sijawahi kuoa ila ninaye mtoto wa kike wa miaka 7. Umri wangu miaka 39.
Mbali na tabia njema, pia ninavutiwa na mwanamke maji ya kunde, mrefu...
Nimeamua kuacha kasumba zangu na kutafuta mke (muislamu)
WASIFU WANGU
- Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30.
Muislamu (msomi kiasi wa dini)
mrefu
mweusi
mwajiriwa
sina gari
sina nyumba...
Vigezo awe mrefu au wastani, mweupe wa asili au maji ya kunde.
Umri chini ya miaka 25.
Dini yoyote ile ila akubali kuolewa na mkristo.
Elimu level yoyote ile ila aweze kutunza familia.
SIFA ZANGU...
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu
Nina umri wa miaka 30
Dini muislamu
Muajiriwa serikalini!
Nina mtoto 1
Makazi mbeya
Sifa za mwanamke ninaye muhitaji
Umri miaka 23-32
Awe muislamu
Elimu...
Umuofia kwenu, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 napatikani mkoani Dodoma,nahitaji kampani ya mdada mtu mzima mwisho 35 na asiwe chini ya 28 na awe na shughuli zake ,tafadhali kama una sifa...
Awe na sifa zifuatazo:
Umri 20-25
Muislam
Mweupe
Mwenye elimu yeyote
Mchapakazi
Mkazi wa Dar es salaam
Umri wangu 26
Nmejiajiri fundi AC
Naishi Tegeta
Njoo pm kma upo tayari
Majirani wetu mpoo!
I'm 25yrs lady from Kenya searching for my better half 30-50yrs.
Note: Sina mtoto, I'm a teacher so the man lazima awe na kazi nisije kulala njaa.
Habari za humu ndani wanajamvi,
Mm ni bint mwenye miaka 28 natafuta mwanaume atakaekua mume wangu kama tutafikia muafaka huo.
Sifa zangu
Mkristo nilieokoka nampenda Yesu
Miaka 28 elimu diploma...
Wapendwa
Najitokeza tena kwenye jukwaa hili, kuchukua hii fursa ya kujitafutia mwenza aliyeko tayari kuanza maisha;
sifa zangu;
Nina umri wa miaka 39
Sijawahi kuolewa wala sina mtoto
Naishi Dar...
Habar zenu wadau,,
Mim sio muandishi mzuri sana ila nimekuja hapa natafuta rafiki wa kike,,,
mimi age yangu 28yrs mbishe zangu nafanyia dar es salaam nmeajiriwa kibishi,,
rafiki age yoyote ile...
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue mapenzi na awe handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.