Natafuta mwanamke nitakayedate naye hadi tujenge ndoa. Nipo Chuo mwaka wa Mwisho
Umri awe kuanzia miaka 18 adi 24, awe mwenye hofu ya Mungu, mkweli, ni vizuri awe Dar es Salaaam
Namba za simu...
Hi
I am Jophy, Christian, 29yrs of age, degree holder and I am at Dodoma doing my staff.
I am looking for girlfriend who is not occupied, God fearing woman, Confident very focused and lovely one...
Naitwa secy nahitaji mwenza sifa zangu
Umri: 34
Dini: Christian
Kazi : mwajiriwa ( Government)
Elimu:Degree
Sina mtoto na wala sijawahi kuolewa
Naihitaji mwenza mwenye sifa zifuatazo:
Umri: 34-47...
Nina umri wa miaka 24, natafuta mchumba wa kike alioko serious wa kuanzisha mahusiano, awa mrefu kiasi, maji ya kunde au mweusi, umri 19-22, elimu kuanzia form four, awe mkweli na mwaminifu, in...
Habari wana JF natafuta mchumba wa kike
Sifa
1 awe mkweli kweny mahusiano
2 mchapakazi
3 mcheshi
4 awe na elimu ya kujitambua
5 maji ya kunde mrefu kidogo sio mnene san
6 awr dar es salaam...
Zingatia umri hapo juu. Nahitaji mpenzi ambaye tukiendana tutaoana, sifa awe mweupe maana mm n maji ya kunde kwahyo tuchanganye rangi, awe mrefu au wastani.
Awe tayari kupima afya, pia awe tayari...
Habari
Natafuta msichana wa kuwa naye.
Vigezo:-
1. Awe amesoma diploma or degree
2. Umri miaka 20-25
3. Muislamu
4. Mkazi wa Dar es Salaam
5. Mrembo
Umri wangu ni miaka 28. Ni Electrical...
Sifa zangu nina umri wa miaka 32 nmrefu wa wastan mweusi, mpole, nina mtoto 1 wa kike ana miaka 6 nimejiajiri mwenyewe mwanamke ninayemhitaji sifa zake rangi yeyote, mrefu kias muelewa awe...
Natafuta mwanamke ambae ambae tutafikia hadi kuoana na kuishi kwa amani
Sifa
Awe na umri kuanzia 23 hadi 29
Awe muislam
Awe na hof na mungu
NB:
Rangi na kimo sivipi kipaombele. Sio lazima awe...
Sifa za mwanamke
1 Umri 20-24
2 Elimu kuanzia form 4
3 kabila lolote
4 asiwe na mtoto
5 Asiwe mfupi Sana, yaani urefu wa wastani au mrefu kabisa
6 Rangi iwe ya Maji ya kunde au mweupe
7 Awe tayari...
Habari wapendwa!
Mimi ni msichana wa miaka 23. Natokea mkoa wa Mwanza Ni mkerewe nimeamini fika kuwa nikija hapa JF naweza pata mchumba wangu wa kunioa. Kwa Sasa nipo Arusha nasoma elimu ya Juu...
Mimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu...
Natafuta MKE wa kuoa,awe mrefu,maji ya kunde au mweupe,mkiristo,mpenda maombi,awe na hofu ya MUNGU,awe anajua kusoma na kuandika,umri kwanzia miaka 21 hadi 31
Habari
Mimi ni mwanaume wa miaka 52,"Nipo single"Na sijawahi kufunga ndoa katika maisha yangu.
Ni mrefu wa centimetres 170(futi 5 na inchi 7),
Rangi yangu maji ya kunde,
Kwa umbo ni mwembamba...
Habarini wa JF? Natumaini hamjambo.
Najitokeza kwenu leo katika jukwaa hili nikiwa na uhitaji wa mwanamke atakae kuwa tayari kuingia nae kwenye ndoa.
Nina umri wa miaka 27 kwa sasa na mtoto...
Habari zenu watu wote!
Natafuta rafiki, mpenzi na hatimaye mume awe Single Father ( kwa sababu yoyote ile)
Umri kuanzia miaka 40+
Mengine tutayajenga PM, karibu kwa aliye serious
Awe mwanamke...uzuri wa sura sio muhimu sana ila angalau awe na akili timamu.
Dini yoyote ila awe tayari kuwa mkristo au tufunge ya bomani.
Umri kuanzia 18 hadi umri wowote ule wa uhai.
Sijali...
I'm Tanzanian, 41yrs of age, christian, black in color, Midiam height, employed.
My preference is a girl/ woman of the following characters/look:
- Aged 28-32 years
-Beautiful with attractive...
Natafuta mke
Sifa za muhitaji
.Mrefu
.Mweusi
.Diploma ya afya(mwajiriwa gov)
.Mwembamba kiasi
.Miaka 32
Naishi Dodoma mjin
Sifa anayehitajika
.Urefu wa wastan
.Maji ya kunde au mweupe
.Elimu...
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.