Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta rafiki akidevelop awe mchumba then mke sifa ziwe hizi hapa Awe mkristo mimi ni roman Awe msukuma au mnyamwez kama mimi Awe na miaka chini ya 27 mimi nina 30 Awe tayar kupima H.I.V...
0 Reactions
2 Replies
970 Views
Natafuta mchumba, sifa awe Na miaka 23-30. Awe mwe usi au maji ya kunde, dini yoyote, awe mrefu wa wastan, awe Na wembamba usio Na mashaka, awe Na chura wa kawaida tu. Tabia iwe njema Na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I am Looking for a Single Mother who will be ready to be my future wife. I am also a Single father 34 of age, well educated and self employed. A single mother should have at least 25 - 30 of age...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hi guys ni matumaini yangu mko poa Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa...
83 Reactions
136 Replies
23K Views
Salaam kwenu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu...
65 Reactions
1K Replies
89K Views
Mimi ni kijana wa kiume, 29yrs mkazi wa DSM. Natafuta rafiki wa kike/mchumba umri 20-25 au zaidi mwenye nia ya dhati ya kutulia kwenye mahusiano na kufikia kuanzisha maisha pamoja. Aliye tayari...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Baadhi ya wanaume tumekuwa malimbukeni wa kuogopa kuwaoa single mother. Sijajua tatizo ni mtu kuogopa majukumu ya kulea mtoto uliyemkuta na mwanamke ama ni nini.!!. Kama ni mtu kujiaminisha kuwa...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kiume, 27yrs mkazi wa DSM. Natafuta mchumba wa kike umri 20-25 au zaidi mwenye nia ya dhati ya kutulia kwenye mahusiano na kufikia kuanzisha maisha pamoja. Mimi ni mkristo tena...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa ambaye natafuta mchumba ambaye tukikubariana ndio ataekuwa mke wangu ili nimuoe kiukweli sina vigezo vingi ila viwili tu vinatosha 1)awe mweupe na 2)awe muislamu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Umri: 40 Elimu: Diploma Uzito : 84kg Urefu: 1.7m Kazi: Sina Hela: Sina Nyumba: Sina Watoto: Watatu Ke1, Me2 Mke: Sina Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma. Madeni: Milion 2.4 Mengineyo...
22 Reactions
118 Replies
8K Views
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu, Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao...
5 Reactions
83 Replies
9K Views
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo...
2 Reactions
2K Replies
216K Views
Habari Wana jf, naitwa Alfred umri 34 toka Uvinza, elimu yangu diploma na mfanyakazi katika shirika linajihusisha na huduma za kijamii, najitokeza kutafuta mchumba ambaye kama Mungu atapendeza...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito...
32 Reactions
361 Replies
47K Views
Habari!! KWA HESHIMA KUBWA NAPENDA KUWEKA MAOMBI YANGU HAPA KWA AJILI YA KUTAFUTA MKE MWENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI NINA NIA YA DHATI NA UKWELI KUTOKA MOYONI NAITAJI MKE WA AINA HII...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
Ndugu zangu wana JF huu ni mwaka wa pekee katika historia ya maisha yangu ni mwaka ambao natarajia kuaga rasmi katika chama kikuu cha useja na kupewa usajili wa kudumu katika chama cha wanandoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habarini za asubuhi, Leo ikiwa ni siku ya saba tangu nianze nilikizo nimejikuta kumisi sana mwanamke maalum wa kumbembeleza na kumjali, kutania na kufurahi pamoja, wakua nae katika hali...
3 Reactions
55 Replies
4K Views
Natafuta msichana tukielewana na kuridhiana tunaoana, umri kuanzia miaka 22 - 30 dini mkristo mkatoliki ambaye hajazaa ila asiwe mhaya, elimu yoyote kama kaajiriwa au kajiajiri mwenyewe poa. Kama...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna mtakaodhani natania au mtanitukana. Lakini heri nitangaze nia ili uwezo wa siri nilionao unisaidie wakati huu ninapoendelea kutafuta ajira. Mimi ni Mtaalamu wa Massage & SPA, hoteli...
7 Reactions
290 Replies
27K Views
Sifa zangu-nina mtoto 1,mrefu sana nakaribia ft 6,mweusi,mfanyabiashara mdogo,miaka yangu 40, mkristo,elimu chuo. Sifa za mke Awe mkristo,rangi ya asili,miaka 30-40,elimu kuanzia kidato cha...
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Back
Top Bottom