Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
~ Mwenye utayari ~ Wakawaida kiumbo ~ 22-26years. ~ Elimu level yoyote. ~ Mweusi/Mweupe. ~Wamaisha/kuoana ~ Mvumilivu, charming Mengine tutarekebishana Please PM me.
1 Reactions
53 Replies
3K Views
Habar wana jf. Uzi huu ni kwa ajili ya kutafutana.kinachotakiwa kufanya ni mtu aandike jina lake, umri wake, pamoja na anachotafuta halafu wanakuja pm. Naanza na mimi. Jina: Edo kissy Umri: 18...
2 Reactions
54 Replies
3K Views
Natafuta mpenzi I mean a girlfriend- awe Iringa mjini au karibu na maeneo ya Iringa, umri uwe kati ya miaka 22-27, asiwe na mtoto Wala kuwahi kuzaa, awe na mwili wa kawaida sio mnene, Wala sio...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta mwanaume serious ambaye atakuja Kua mume wangu ndoa awe na umr kuanzia miaka 33 nakuendelea awe mkristo dheebu lolote. Umri wangu ni miaka 33 mjasiriamali na nina mtoto mmoja. Kama upo...
19 Reactions
236 Replies
14K Views
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na...
55 Reactions
114 Replies
19K Views
Habarini Wana Jamiiforums, Mimi ni kijana ambaye nipo kwenye umri wa miaka ishirini ya mwanzo (early 20's), nahitaji mwanamke wa kuishi naye na Mwenyezi Mungu akijaalia kuishi kama mke na mume...
0 Reactions
4 Replies
874 Views
Wakuu natumaini mko poa. Mimi ni kijana nina umri miaka 30, natafuta mwanamke aliye serius awe mchumba na baadaye Mungu akijalia ndoa. Sina mtoto wala sijawahi kuoa. Mimi nimejiajiri, mrefu...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Well hello to all you charming women of JF world! I can't wait to make friends with all of you (not!). So I'm pretty much looking for any kind of relationship atm, whether it be purely platonic...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari zenu wana JamiiForums nahitaji mke alie na utulivu wa nafsi na siyo mwenye tamaa. Awe MUSLIM na pia awe bado hajazaa, umri awe 18-32. Awe mweusi au mweupe, pia awe na umbo zuri (shape)...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
TAFADHALI NAOMBA ZINGATIA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU. Habari wana jamiii forums, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni kijana wa kitanzania. Mimi ni mwajiriwa wa serikali...
2 Reactions
72 Replies
3K Views
Naishi kigambon Dar es salam, natafuta mchumba/ mume . Umri wangu ni miaka 23 Urefu wa wastani Elimu - diploma Dini - mkristo Sifa za mhitajika; Awe mstaarabu , mengine ni kadri tutakavyokuwa...
15 Reactions
44 Replies
9K Views
Naitwa Samweli Naishi Moshi Kabila Mchaga Umri 35 Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasbb mama yake alishafariki kwa ajali. Nahitaji mwanamke atakaekua mke wangu...
3 Reactions
4 Replies
646 Views
I’m pretty easy going, down for whatever. I have a huge heart, and I care a lot about people. I’m an open book, ask me whatever. I have a passion for knowledge. I have a passion for Carpentry...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf? Nimekuja humu kwenye hili jukwaa kutafuta mwanamke anaeishi na VVU ili aje kuwa mke wangu. Nina miaka 33 Nahitaji aliye serious tu Umri kuanzia miaka 29 na kuendelea Kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia...
23 Reactions
120 Replies
7K Views
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, natafuta mwanamke serious ambaye twaweza kuwa wapenzi. Ninaishi Dar. Napenda huyo mwanamke awe na vigezo vifutavyo; Umri: 22-30 Elimu : yoyote...
4 Reactions
6 Replies
840 Views
Nahitaji mdada aliye siriasi kabisa na mahitaji ya kuwa mke wa mtu: Sifa zangu: Miaka 40 Elimu : shahada ya kwanza Dini : mkristo ( mkatoliki) Kazi : mtumishi wa umma pia mjasiriamali Location ...
9 Reactions
105 Replies
6K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara. Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari zenu wadada wa JF, Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 38, elimu yangu ni ya Chuo kikuu, Mkristo wa Roman Catholic, mwajiriwa serikalini, mrefu wa...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Natumai hamjambo. Mimi nimwanaume wa miaka34 saivi.Nimeajiriwa nipo kikazi Moshi,dini yangu ni mkristo. Nahitaji mwanamke nitakae dumu nae Kweny uchumba kwa muda mfupi(ili tu kujuana kiundani),na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom