Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello habari zenu. NAMI nichukue fursa hii kutafuta mpenzi. Mimi ni mwanaume mwenye miaka 35,mwajiriwa serikalini, nimeoa mke yupo mkoani. Nahitaji mpenzi Ambaye: 1. Ana umri kuanzia 22 mpaka 33...
7 Reactions
38 Replies
2K Views
Habari zenu, Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, wasifu wangu, mimi ni kijana wa miaka 35, nina mke na watoto watatu, muislam, nimejiajiri naishi Dodoma. Nahitaji kuoa mke wa pili, sifa zake...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
habar mimi ni kijana wa kiume umri,miaka 33,muislam,maji ya kunde,mwajiriwa serikalin idara ya utawala natafuta binti wa kuoa umri wowote ila akiwa mdogo zaid yangu itapendeza ,elimu kuanzia...
2 Reactions
4 Replies
558 Views
Wadau nafahamu watu wana mahitaji tofauti tofauti hapa. Nimeona kuna wadada/wanawake wenye uhitaji mtoto na huwa wanatafuta mtu mwenye muelekeo ili waweze kupata mtoto pamoja. Sasa ipo hivi; Mimi...
2 Reactions
46 Replies
6K Views
Sifa zangu Naitwa - S Umri -29 Makazi - Dar Elimu - Degree Kazi - Nimeajiriwa na pia nimejiajiri Dini - Mkristo(RC) Rangi - Mweupe mrefu Sifa za ninayemuhitaji Dini yoyote kikubwa upendo Awe...
2 Reactions
11 Replies
930 Views
Umri unaniacha sana. Nahitaji mke sasa, asiwe na mtoto hata mmoja. Akiwa na tatizo la kizazi itapendeza zaidi. Kama una ndugu au jamaa yako mwambie, hii ni kama fursa pia kwa wadada wasiyozaa...
6 Reactions
101 Replies
5K Views
1. Awe Dar 2. Awe mkristo 3. Awe ameajiriwa serikalini 4. Umri 26_33. 5. Mpenda maendeleo,mchapakazi na mcha Mungu,mkwel 6. Asiwe mlevi 7. Single mom ntamfikiria 8. Asiwe omba omba.
0 Reactions
3 Replies
789 Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua...
30 Reactions
211 Replies
16K Views
Ndugu kwema naitaji mke mwenye kumtumain mungu na kumwabudu Niko dar nimeajiliwa na srk naitaji mwanamke mwajiliwa awe na uwelewa na umakin na akiwa ameajiliwa srkn ni vzr sana
3 Reactions
8 Replies
633 Views
Habari wana jf kama nilivotanguliza hapo juu mimi ni kijana wa miaka 29 najishughulisha na biashara kariakoo dsm natafuta mwanamke wa kuanza naye maisha kuhusu umri kuanzia miaka 27+ chini ya...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Sina mambo mengi ndugu zangu, nadhani kichwa cha habari kinaeleweka. Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto kadhaa na tunaishi kwa upendo na amani kabisa na familia yangu, ila nahitaji mwanamke...
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Habari za Jioni ndugu zangu wote! Nimekuja na ID mpya kwa sababu nayotumia nadhani imekuwa maarufu sana hapa na ni ya siku nyingi. Naanza maisha mapya sasa, nimeshaamua na nimeshamaliza ujana...
9 Reactions
128 Replies
6K Views
Naitwa Samweli Naishi Moshi Kabila Mchaga Umri 35 Nina mtoto mmoja wa kiume umri miaka 7 namlea mwenyewe kwasababu mama yake alishafariki kwa ajali. Nahitaji mwanamke atakayekua mke wangu...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Natafuta mwanamke wa kuzaa naye mtoto mwenye umri wa miaka 20-27 kwa kweli aliyetayari anicheki pm
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Nimeona tu niweke hili wazi kwa moyo mweupe kabisa. Duniani kwa sasa tumekuwa busy sana hatuna tena muda wa kufukuzia mapenzi na kusumbuana mchana na usiku kimapenzi. Mimi siwezi na niseme si...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Habari naitwa Elifuraha Lyimo niko Dar es salaam mimi nna umri wa miaka 30 natafuta rafiki wa kike wa miaka 20-25 ambaye atakuwa mke wangu aliyetayari aje pm ni kwa wanawake tu ahsante.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu salaam. Kwa malezi niliyolelewa mimi sistahili kufanya ili jambo, pia kwa mila na desturi za kiafrika sistahili kufanya hiki kitu, lakini huu moyo ni wangu, na mmiliki wa moyo wangu ni...
88 Reactions
2K Replies
146K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi na kufanya kazi Nairobi Kenya. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo: 1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24. 2. Awe mkristo. 3. Awe na utayari wa kuolewa na...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom