Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari humu ndani.... Waungwana mimi ni mwanamke wa kiuslam natafuta mwenza wa maisha . Ningependa awe muislam pia umri kuanzia miaka 35 hadi 50. Akiwa Mwanajeshi au Engineer itakuwa vizuri...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari zenu, Natafuta mwanamke wakumuoa, umri wangu miaka 31, ni muumini wa Roman Catholic, nimejiajiri kwenye biashara za mazao yatokananayo na kilimo, naishi Moshi, Kilimanjaro, elimu yangu...
0 Reactions
3 Replies
452 Views
Habari, Nahitaji rafiki wa kike mwenye sifa zifuatazo; Muislam Apatikane mkoa wa mtwara, wilaya masasi, nanyumbu au mtwara mjini Awe mfupi wakati(150-170cm) Akiwa mmakonde itapendeza zaidi Pesa...
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Awe tayari kuanza familia. Umri kuanzia miaka 22 had 39, Mwenye kumpenda Mungu. Elimu yangu ni ya chuo na Nimeajiriwa Dar.
4 Reactions
4 Replies
693 Views
Mimi ni kijana mwenyewe umri wa miaka 34, muislam, natokea familia ya kawaida sana, elimu yangu ya kawaida sana, ninafanya kazi halali ya kumpendeza Allah. Nahitaji rafiki mwenye hitaji la kuwa...
1 Reactions
2 Replies
645 Views
Nina miaka 26, Mweusi. Mrefu kiasi. Nahitaji rafiki wa kiume (kaka). umri 28-32. Elimu yake -Awe amesomea Afya. Pia awe mweusi na mrefu. Awe mcheshi na mcha Mungu. Awe hajaoa. Mwenye sifa Ani PM
2 Reactions
90 Replies
8K Views
Natafuta mwanamke wa kumuoa, umri wangu miaka 30, elimu yangu degree moja, kazi nimejiajiri, kipato endelevu, dini yangu mkristo, Nina mtoto mmoja. Mke wangu alifariki akaniachia mtoto, nipo...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
  • Closed
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo 1. Awe amezaa 2. Umri miaka kuanzia 25-32 3. Awe anasali dini yeyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi 4. Kabila lolote isipokuwa Kutoka Lindi 5. Umbo...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Natafuta mpenz wa kuwa nae na Mungu akijalia tuje kuoana mbele kama tutaendana mimi napatikana Dodoma mipango kama uko tayari njoo PM umri usizidi miaka 28 na asiwe na mtoto na awe mkristu
0 Reactions
3 Replies
700 Views
Habari za Wakati Wanajamii! Niko boared time hii ya saa 23:38PM, tarehe 11/9/2022..... If you're online at this time lets us make a nicely convo to our inboxes. I prefer a girl/woman who we can...
0 Reactions
7 Replies
820 Views
Niwasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wote kwa pamoja tuitikie "Kazi iendelee". Anahitajika mwanamke mwenye sifa hizi kwa ajili ya uchumba, miezi miwili baadae tufunge ndoa...
11 Reactions
97 Replies
6K Views
29yrs old Fe Living Dar es salaam Bachelor degree Employed by private institute Single, no kids yet,ready for serious r’ship! God fearing,humble,honest,loving and caring woman! Looking for a...
16 Reactions
132 Replies
5K Views
Sifa za nimtakae (Mwanamke) Vigezo vyake : Dini : yoyote ile sijali Mtoto : Akiwa nae asizidi mmoja Kazi : Awe mfanyabiashara/Muajiriwa vyovyote ila Ki uchumi awe vyema (Akiwa Mfanyabiashara...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Naitwa pepetua nahitaji mwanaume wa kufunga nae ndoa Sifa zangu: Dini- mkristo Miaka-34 Kazi- Mtumishi serikalini Status- sina mtoto wala sijafunga ndoa SIFA ZA MWANAUME NIMTAKAYE Awe mkristo...
12 Reactions
59 Replies
6K Views
Nampenda Madamu B naitaji kujua je ni msichana, na kama msichana je kaolewa, kiukweli nimevutiwa sana na coment zake post na jokes nyingi ambozo zilitengeneza isia za mapenzi juu yake mara nyingi...
27 Reactions
778 Replies
53K Views
Thread closed. Asanten [emoji1374]
13 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari za Majukumu, Nahitaji mwanamke alie serious tufahamiane tukiridhiana tabia awe mke. 1. Awe Mkristo na Mcha Mungu 2. Awe muajiriwa au mwenye shughuli zake binafsi 3. Umri 28-30 Sifa zangu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji mwanamke ambaye yupo tayari kuanza safari ya mwisho ya kimahusiano kifo tu ndio kitutenganishe. Mimi Nina miaka 32 Mjasiriamali Mkazi wa Dar es salaam. Mkristo Mnene kiasi,maji ya kunde...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni kijana 36 years. Nimeajiriwa.... Somewhere (utajua baadae) Mkristo Maji ya kunde 173cm. 82kg. Mtu wa Mara. Niko Dar. ANAYEHITAJIKA: Age 24-29 au hata 30 sio mbaya. Dini mmh sio ishu Sana...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo. Niende moja kwa moja kwenye mada, Nina rafiki angu ambae tumefahamiana kupitia social network, hatujawahi nana nae. Ila huyu mrembo aliniweka wazi matamanio yake ya kupata...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom