Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 861
- 1,012
Umri unaniacha sana. Nahitaji mke sasa, asiwe na mtoto hata mmoja. Akiwa na tatizo la kizazi itapendeza zaidi.
Kama una ndugu au jamaa yako mwambie, hii ni kama fursa pia kwa wadada wasiyozaa.
Najua kuwa kuna wadada hawana kizazi na wamejikatia tamaa ya kuwa katika ndoa, hamjachelewa natafuta mwanamke wa aina hiyo. Kama ni wewe au una ndugu yako aje.
Kuhusu umri, Awe tu kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi za nyumbani kwa ueredi,.
sio jokes nipo siliasi.
Umri wangu ni miaka 26
Kama una ndugu au jamaa yako mwambie, hii ni kama fursa pia kwa wadada wasiyozaa.
Najua kuwa kuna wadada hawana kizazi na wamejikatia tamaa ya kuwa katika ndoa, hamjachelewa natafuta mwanamke wa aina hiyo. Kama ni wewe au una ndugu yako aje.
Kuhusu umri, Awe tu kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi za nyumbani kwa ueredi,.
sio jokes nipo siliasi.
Umri wangu ni miaka 26