Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndiyo matatizo yenu mnatoka face book,...anyway karibu kijana kutoka darJamani natafuta mdada mzuri anayejiheshim na mchamungu, MY NO 0784 967080, i am living in dar!
Haya ndiyo matatizo yenu mnatoka face book,...anyway karibu kijana kutoka dar
age 28
tall
accountat
Atakurudishia bana si unaona mwenzako ni Accountant...:eyebrows:Tall ndivyo unavyofanana?
Embu funguka bana. . . au unataka nichome credit yangu bure?
You're not professional accountant_you're accountant technician so to speak,...you just take it and it will helpage 28
tall
accountat
Atakurudishia bana si unaona mwenzako ni Accountant...:eyebrows:
Hehehehe nataka uhakika sitaki mchezo.
Ni handsomeUnafananaje?
Una umri gani?
Unafanya shughuli gani?
Jamani natafuta mdada mzuri anayejiheshim na mchamungu, MY NO 0784 967080, i am living in dar!
mwambie akupe uhakika.
Ni handsome
Ana miaka 18
Yupo CBE mwaka wa kwanza
Hafanyi kazi anasoma ila baba yake ana mawe kishenzi
Nyumbani kwao kuna gari za kutembelea mbili na flat screen sebureni
Yah unaonekana upo serious sana. Huyo hajui kazi ya blog kama jamii forum na Forum kama ya Issa michuzina haya ndo matatizo ya kutoelewa maana ya mitandao ya kijamii!maaana yake ungeijua usingesema mambo ya face book na blog kama hizi, kila kitu kizuri au kibaya kulingana na matumizi yake brother, sidhani kama ni uhaini kutafuta mtu kwa njia hii, i mean it and i am really serious!
Ni handsome
Ana miaka 18
Yupo CBE mwaka wa kwanza
Hafanyi kazi anasoma ila baba yake ana mawe kishenzi
Nyumbani kwao kuna gari za kutembelea mbili na flat screen sebureni
Unafananaje?
Una umri gani?
Unafanya shughuli gani?