Habari yako!
Natumaini Xmas ilikuwa nzuri kwako, na natumaini fika mwaka mpya tutafika salama na kwa afya njema.
Mimi ni kijana ninayeishi nje ya nchi, na natafuta rafiki wa kike ili tuwe na...
Najitokeza tena hapa!!!,natafuta mke,naitaji mwanamke ambaye atakuwa tayari kuanza maisha ya ndoa,naitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea na awe na nia na dhamira ya dhati...
natafuta mpenz msichana, elimu c kigezo ila awe na umri ucozd miaka 23 na c pungufu ya 18, lakn pia awe na mapenz ya dhat anayewiwa kuwa na mm antafute 2ongee private.
Bajeti yangu nasubiria ipitishwe na bunge la ubongo wangu.
Kwa siku tatu tu..
Yaani leo usiku mkesha...
Kesho sikukuu,
Na kesho kutwa
Tunaachana...
Ukuwa serious ni PM!!
Mimi ni kijana natafuta mwanamke kuanzia miaka 22-26 awe mpenzi wangu sichagui dini wala kabila awe maji ya kunde au mweupe kiasi uwe na elimu kuazia diploma na kuendele.....kwa alie tayar ani MP
Salama wakuu.... jamani lazima kuhama ndio sikukuu or ndio kufurahi ? mimi niko kariakoo karibuni sana ndani ya mita 300 utachagua kila kitu ukipendacho chakula ? hotel ...
Habari zenu wanajamiiforum
Mimi nikijana wa miaka 30 naishi Dar maisha yangu ya wastani sio ya juu sana na wala sio ya chini pia elimu yangu ni ya kawaida tu
Shida iliyoniweka hapa mtandaoni ni...
Nina umri wa miaka 37 nahitaji mke mwema mwenye umri wa kuanzia miaka 26-40 Elimu yangu ni Diploma, ni mjasiriamali, Mke mtarajiwa awe hajazaa, awe muislam au mkristo, asiwe mfupi awe saizi ya...
Mi ni mkristo, nina umri wa miaka 37 nahitaji mke mwema mwenye umri wa kuanzia miaka 28-42 Elimu yangu ni Diploma, ni mjasiriamali, Mke mtarajiwa awe hajazaa, awe muislam au mkristo, asitumie...
habari ndugu, jamaa na marafiki.....
Sina ratiba yoyote katika hizi siku kuu jamani kama upo mpweke kama mimi naomba tuwe kampane!!
0713644485 my number kwa walio serious tu
WanaJF, heshima kwenu hasa wanaothink positively. Ebana ee, msala, kuna mmama mtu mzima flani hivi japo si sana, ana umri wa 38 yrs na anafanya kazi benki kama mkuu wa idara, kifupi yuko vizuri...
wengi humu wanafanya mzaha,ila tafadhari huu siyo mzaa natafuta mchumba/mdada wa kikristo, anayempenda MUNGU.wewe uliye na shida kama yangu tuwasiliane tuma kwenye inbox yangu, nikupe details zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.