Nahitaji mke

Nahitaji mke

SOSTENESS

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
19
Reaction score
1
Mi ni mkristo, nina umri wa miaka 37 nahitaji mke mwema mwenye umri wa kuanzia miaka 28-42 Elimu yangu ni Diploma, ni mjasiriamali, Mke mtarajiwa awe hajazaa, awe muislam au mkristo, asitumie mkorogo kama anatumia ntamchukua na ataacha kutumia nitaipenda rangi aliyo nayo natural kama black au mweupe poa, awe tayari kuipa watoto 3 tu, asiwe mfupi awe saizi ya kati au mrefu, asiwe Mhaya, Mchaga au Mpare. elimu yake iwe kuanzia form 4 na kuendelea, asiwe na tamaa ya pesa, akiwa bikra nitashukuru sana, awe tayari kwenda kupima Ukimwi mara 3, asiwe na mtandao mkubwa wa marafiki wanao penda kujirusha. Karibuni.
 
MIAKA 28-42 Af awe BIKRA....Labda ya kabaanggg
 
Mi ni mkristo, nina umri wa miaka 37 nahitaji mke mwema mwenye umri wa kuanzia miaka 28-42 Elimu yangu ni Diploma, ni mjasiriamali, Mke mtarajiwa awe hajazaa, awe muislam au mkristo, asitumie mkorogo kama anatumia ntamchukua na ataacha kutumia nitaipenda rangi aliyo nayo natural kama black au mweupe poa, awe tayari kuipa watoto 3 tu, asiwe mfupi awe saizi ya kati au mrefu, asiwe Mhaya, Mchaga au Mpare. elimu yake iwe kuanzia form 4 na kuendelea, asiwe na tamaa ya pesa, akiwa bikra nitashukuru sana, awe tayari kwenda kupima Ukimwi mara 3, asiwe na mtandao mkubwa wa marafiki wanao penda kujirusha. Karibuni.


Mama yangu mdogo ana 42 atakufaa?
 
We mkristo wa kweli? Dini yako inakuelekeza nini kwenye hili?
 
Back
Top Bottom