Mim ni kijana wa miaka 25 mhitimu wa chuo kikuu nahitaji marafiki wa kike umri kuanzia miaka 18 na kuendelea.cchagui dini,kabila,rangi wala umri..nahitaji tubadilishane mawazo na mungu akipenda...
R J age 27 nipo CHUO, Mara ila vilevle mi mwenyeji wa DSM uku ni masomo tu. Hitaji langu kubwa kumpata mwenye hitaji la dhati la Mpenzi maana ata mim hisia zinaniumiza kuliko kawaida na napenda...
huyu
dada huwa nikisikia ile swaga yake mi hoi huwa ana sauti ya bezi hii
kwangu ni sauti ya gharama huwa inauchoma moyo wangu plz njiwa nakutuma
peleka salamu au mwenye cont zale plz
KWA MARA ZINGINE TENA NAJITOKEZA HAPA KUTAFUTA MKE WA KUFUNGA NAE NDOA NA SIO KUCHAT,NILICHOJIFUNZA MM SIJUI KWA WENZANGU,WENGI WA WANAWAKE HAPA WAMEKUWA MAFUNDI WA KUTAMKA KUWA WANAITAJI MUME...
Nachukua fulsa hii kujitokeza katika ukurasa huu kutafuta mchumba later aje kuwa mke.
me me ni mfupi,mweupe wa wastani,mwanafunzi,muislamu
sifa za bibi harusi huyo ziwe kama ifuatavyoo;
1)mwenye...
awe mtu mzima kuanzia 35+
awe ana interest za business
awe anajitambua
asiwe bwakubwaku
awe ana uwezo wa kuzungumza hadharani,kuhutubia n.k.
awe na uwezo wa kusafiri ndani na nje ya nchi
awe...
napenda kuwapa ushauri wa kuweka ata picha. Nazani Picha ni moja ya kichocheo ya kuweza kupata mwenza mapema na kwa haraka. Sasa huwezi pata mwenza wakati hajakuona ata picha yako
Naulizia wale wadada ambao wanafanya kazi zao na kuishi kwa kujitegemea. Sio wanafunzi, japo wako wanafunzi ladies. Wanapatikana wapi hawa? Napishana nao manjiani lakini hawajaandikwa wako singo...
Hello jf love connect, naitwa Sean 28 Male,Dar. Napenda Muziki,Kuogelea,Beach,Kusafiri&kuwa na furaha. Mmi ni graduate wa 2011 ila kwa sasa ninafanya kazi. Nahitaji marafiki wa jinsia yeyote. Kama...
ladies and gentlemen,
habari zenu?
i hope you are all well!
well,
from the heading,
iam a man aged 23 years old, a higher learning student. i managed to stay out of relationship with girls...
Hii inawahusu mabinti warembo, waadilifu na wachaMungu pamoja na wa kakawanaopenda kuwakuwadia Dada zao.
Maisha ni style na historia,baada ya kula bata sana katika dunia hii kwa miaka 28 sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.