Wadada niokoeni jamani

Wadada niokoeni jamani

ANT DRUGS

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
5,414
Reaction score
6,744
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ningependa kupata kampan ya kike kwa sababu nateseka sana na huu upweke.AWE CHINI YA MIAKA 24 OR EXACTLY.ANIPM
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ningependa kupata kampan ya kike kwa sababu nateseka sana na huu upweke.AWE CHINI YA MIAKA 24 OR EXACTLY.ANIPM

Siku hizi ni gusa unase....................... kweli umeshindwa hadi umwage yanayokusibu moyoni?

Winda demu umtakae, siku ukikutana naye msimamishe. Halafu mwambie 'mimi nakutaka', utasikia mimi? Sema ndiyo, then mwambie kwa vile tumekutana tu njiani, nipe namba/ au uwe umeiandika ktk kikaratasi, mpe!
Utarudi hapa kushuhudia utakavyokuwa unasumbuliwa! Kazi ni kwako.
 
Siku hizi ni gusa unase....................... kweli umeshindwa hadi umwage yanayokusibu moyoni?

Winda demu umtakae, siku ukikutana naye msimamishe. Halafu mwambie 'mimi nakutaka', utasikia mimi? Sema ndiyo, then mwambie kwa vile tumekutana tu njiani, nipe namba/ au uwe umeiandika ktk kikaratasi, mpe!
Utarudi hapa kushuhudia utakavyokuwa unasumbuliwa! Kazi ni kwako.

Ngoja nifanye mambo sasa
 
ndo nafika nilikuwa kuchunga ng'ombe....nini kinaendelea hapa..........................
KAGAME in bongo?

kwani si kuna wahamiaji haramu??ww changia maada siyo kuchambua utaifa wa mtu
 
Tuwekee picha na uolozeshe na mali zako tukutafutie watu hawataki shidaa maana hutak kuoa unataka kuchezea wadada wa wenzio
 
Kuolozesha ndiyo kufanya nini?

Uliza jingine keyboard yangu haina mfupa imetelezaa nadhan umenipata maana sijaandika kihindi umenipata slim boy"i wil hit u" hhhhaa
 
Uliza jingine keyboard yangu haina mfupa imetelezaa nadhan umenipata maana sijaandika kihindi umenipata slim boy"i wil hit u" hhhhaa

Wabongo kwa kujitetea tu mnaweza,but kichwani maji tu!ona hata kiswahili chenu kukiandika shida.YOU CANNOT HIT ME EVER THEN
 
Back
Top Bottom