Natafuta mchumba later awe mke........................... .

Natafuta mchumba later awe mke........................... .

Slaker

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
237
Reaction score
31
Nachukua fulsa hii kujitokeza katika ukurasa huu kutafuta mchumba later aje kuwa mke.
me me ni mfupi,mweupe wa wastani,mwanafunzi,muislamu
sifa za bibi harusi huyo ziwe kama ifuatavyoo;
1)mwenye mapenzi ya dhati
2)elimu atleast kidato ya nne
3)mwaminiffu
4)dini yeyote
5)kabila lolote
6)mambo ya kuridhiana au kutoridhiana ,,,tutayaongeaaa tukiwa wawili,,,,,,
7)Age awe 18-23
mwenye vigezo ni pm
OVER :mwaaah::mwaaah:
 
Point of correction,
Huwa anatafuta rafiki wa kike kwanza maana uchumba ni nishani tofauti kabisa...kuanza kutafuta mchumba bila kupitia urafiki ni sawa na natafuta mtoto bila kuwa na mwanamke!
 
Nachukua fulsa hii kujitokeza katika ukurasa huu kutafuta mchumba later aje kuwa mke.
me me ni mfupi,mweupe wa wastani,mwanafunzi,muislamu
sifa za bibi harusi huyo ziwe kama ifuatavyoo;
1)mwenye mapenzi ya dhati
2)elimu atleast kidato ya nne
3)mwaminiffu
4)dini yeyote
5)kabila lolote
6)mambo ya kuridhiana au kutoridhiana ,,,tutayaongeaaa tukiwa wawili,,,,,,
7)Age awe 18-23
mwenye vigezo ni pm
OVER :mwaaah::mwaaah:

Hivi hebu tuambie huwa unaongea na wazazi au ndugu zako wako tujue kwanza inamaana mchumba ndio anapatikana JF
 
mchumba anapatkana popote pale
kanisan
msktn
vituo uya ma basi,,,,,,sasa ukianza urafk later kwenye transition unaweza mkaanza kutongozana tongozana
since mtakuwa marafiki na yeye atakuwa ana bf wake huko so ni better huende straight to the point nataka mchumba mchumba khabar za urafk ctak me me
marafk ninao kbaoo tuu
 
Back
Top Bottom